Wednesday, October 15, 2025

Habari

Kitaifa

SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

Na ABDUL DUNIA WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara ikisimama kupisha mechi za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026, Simba ndiyo timu iliyofunga mabao mengi katika michuano hiyo hadi sasa msimu huu. Katika michuano hiyo mikubwa zaidi kwa ngazi za klabu nchini, jumla ya mabao 36 yamefungwa msimu huu, huku Simba ikipachika mabao sita. Kwa mujibu […]
Read more

JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

Na MUSSA YUSUPH, Geita MGOMBEA Ubunge wa Viti Maalumu, Jesca Magufuli, amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye ujasiri mkubwa na shupavu ambaye katika kipindi cha miaka minne ametekeleza miradi mikubwa ya kimkakati. Jesca ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, uliofanyika viwanja vya […]
Read more

MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

Na MUSSA YUSUPH, Geita KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Asha- Rose Migiro, amesisitiza kuwa, mafanikio ya Watanzania, hayapo katika maneno bali ni matendo. Dk. Migiro, aliyasema hayo katika mkutano wa kampeni, uliohutubiwa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Bukombe. Alieleza kuwa, kwa […]
Read more

DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

Na MUSSA YUSUPH, Geita MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wananchi kuleta maendeleo na kujenga uchumi jumuishi. Akizungumza katika mkutano wake wa kampeni uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Bukombe, Dk. Samia, aliwahakikishia wananchi kwamba, atawatumikia kuleta maendeleo na kujenga taifa jumuishi. Alisema wachimbaji wa wilaya hiyo, walikuwa wakivamia […]
Read more

Kimataifa

YANGA, SINGIDA, MLANDEGE MZIGONI TENA KIMATAIFA

Na AMINA KASHEBAWAWAKILISHI watatu wa nchi katika michuano ya kimataifa, leo wanashuka dimbani katika viwanja tofauti kuwania nafasi ya kucheza hatua ya pili ya mtoano.Wawakilishi hao ni Yanga ya Dar es Salaam na Mlandege ya Zanzibar zinazoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) pamoja na Singida Black Stars kutoka Singida iliyopo katika Kombe la Shirikisho Afrika […]
Read more

BALOZI DK.  NCHIMBI ATAJA MISINGI YA CCM

Na NJUMAI NGOTA, Rukwa MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema CCM ni Chama pekee chenye dhima ya kuwatumikia Watanzania, kwa kuwa, kimejengwa katika misingi ya uadilifu, utekelezaji wa sera, ahadi na dhamira ya dhati ya kujenga maisha bora kwa kila Mtanzania. Pia, Chama kimetekeleza kwa vitendo, Ilani […]
Read more

MBAPPE AMFIKIA HENRY UFARANSA

PARIS, Ufaransa NAHODHA wa Ufaransa, Kylian Mbappe amesema kufikia idadi ya mabao yaliyofungwa na mkongwe Henry katika timu hiyo ya taifa ni jambo lisilo la kawaida. Mbappe amefikia mabao 51 yaliyofungwa na Henry katika timu hiyo baada ya juzi kufunga bao moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ukraine katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe […]
Read more

LIVERPOOL, ARSENAL KAZI IPO

LONDON, England TIMU za soka za Liverpool na Arsenal, leo zinatarajiwa kupambana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Pambano hilo, limepangwa kufanyika katika Uwanja wa Anfield ambapo Liverpool itakuwa mwenyeji wa mchezo huo. Hadi leo, Arsenal inaongoza ligi hiyo ikiwa na pointi sita baada ya kushuka dimbani mara mbili katika michuano hiyo. Liverpool katika […]
Read more

Video

error: Content is protected !!