Toleo Maalumu

Habari

MASAUNI AZINDUA BODI YA KABONI, AIPA MAAGIZO MATANO

Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Mhandisi Hamad Yussuf Masauni, ameizindua na kuipa maagizo matano Bodi ya Kituo cha Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC) kilichopo mkoani Morogoro. Ametoa maagizo hayo jijini Dar es Salaam Machi 6, 2026, ambapo ameelekeza bodi  kuimarisha mifumo ya kitaifa ya Upimaji, Utoaji […]

FCC, TCRA KUCHUNGUZA GHARAMA ZA BANDO NCHINI 

DodomaNA FRED ALFRED TUME ya Ushindani (FCC) kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), zinaendelea na uchunguzi kuhusu gharama za bando zinazotozwa na kampuni za mitandao ya simu kubaini kama wananchi wanarubuniwa. Hayo yalibainishwa jijini hapa na Kaimu Mkurugenzi wa FCC, Khadija Ngasongwa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya serikali ya […]

RAIS DK. SAMIA AIPA HESHIMA DIPLOMASIA YA TANZANIA

ARUSHANa Lilian Joel KIKAO cha Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kimezidi kufungua fursa za kiuchumi kwa wafanyabiashara nchini, huku kikionyesha namna uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ukiwa imara katika kuimarisha diplomasia ya uchumi kwa Tanzania. Hayo yameelezwa na wafanyabiashara na wananchi mkoani Arusha wakati wakijiandaa kupokea ugeni mzito wa […]

UCHAGUZI

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

Siasa

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

SIKU 100 ZA KAZI NA UTU, ZAIKOSHA CCM

Na ZIANA BAKARI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na mwanzo mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake, uliofanyika katika siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, huku kikiwataka Watanzania, kuaminiana na kuzungumza kwa pamoja kwa kuwa jamii inahitaji maridhiano, siyo fujo. Hayo yalibainishwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, alipofanya mahojiano kupitia kipindi […]

TULIENI NYUMBANI

>>Ni agizo la Waziri Mkuu Dk. Mwigulu >>Simbachawene  asema maandamano ni haramu Na IRENE MWASOMOLA SERIKALI imewataka wananchi wasiokuwa na ulazima wa kutoka leo, watulie nyumbani. Agizo hilo limetolewa na Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, alipowasilisha salamu za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru, ambapo aliwatakia Watanzania kheri. Kupitia […]

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

Na ATHNATH MKIRAMWENI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani kufanya kazi zinazobeba ajenda za wananchi, zitakazotoa majawabu ya kero katika maeneo yao. Pia, CCM imesema itaendelea kusimamia vyema misingi ya uadilifu kwa watendaji wa Chama. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, jijini Dar es Salaam, alipozungumza na […]

WASIRA : VIJANA MSIKUBALI KUTUMIKA KUVURUGA AMANI

Na MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewataka vijana kutokubali kutumika kuvuruga amani na utulivu nchini kwa madai ya kudai haki. Amesema Tanzania haina uadui na nchi nyingine, lakini yapo baadhi ya mataifa, yanayoumizwa na kasi ya maendeleo iliyopo nchini. Amesema wanafahamu Tanzania inaelekea kujikomboa kiuchumi, hivyo kuondoka […]

Biashara

YANGA, AL AHLY MECHI YA MAAMUZI

Na NASRA KITANA WAKATI timu ya Yanga ikitarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa huo ni mchezo wao wa maamuzi, hivyo hawatakubali kupoteza. Yanga wanatarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL),  dhidi ya Al Ahly ya Misri, […]

TRA INAVYOIMARISHA USHIRIKIANO NA WAFANYABIASHARA KUKUZA UCHUMI

Na IRENE MWASOMOLA TANGU kuingia madarakani kwa serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imesaidia kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hakika kazi kubwa imefanyika ya kuongeza makusanyo ya kodi kupitia TRA, hivyo kufanikisha dhima ya serikali ya utekelezaji wa maendeleo kwa wananchi na taifa.  […]

TASAF KIELELEZO CHA MAFANIKIO MIAKA 64 YA UHURU

NA SULEIMAN JONGO WATANZANIA wanaadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) ambao ulipatikana Desemba 9, mwaka 1961 huku kukiwa na mafanikio mbalimbali ya mfano. Kupatikana kwa Uhuru kunatokana na msukumo wa wananchi wa Tanzania Bara kutaka kujinasua katika makucha ya wakoloni ambayo hawakutoa nafasi kwa Waafrika weusi kujiletea maendeleo katika sekta mbalimbali zenye […]

SERIKALI YAIVALIA NJUGA TANZANITE

Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema serikali imejipanga upya kuyatangaza na kuyainua madini ya Tanzanite kimataifa kupitia mkakati wa kurejesha hadhi ya jiwe hilo adimu duniani. Akizungumza katika mkutano na wachimbaji wadogo na wafanyabiashara wa madini ya vito katika eneo tengefu la ukuta wa Magufuli, Mirerani mkoani Manyara, Waziri Mavunde, alisema hatua […]

DK. MWIGULU ATOA SIKU 10

Na MWANDISHI MAALUMU WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa siku 10 kwa watendaji wa taasisi zinazohusika na usafiri wa mwendokasi jijini Dar es Salaam, kuainisha maeneo ya kufanyiwa kazi haraka, kurejesha hali ya mpito wakati serikali ikitafuta suluhisho la kudumu. “Wizara ya Ujenzi, TANROADS, DART, UDART, OWM-TAMISEMI, TANESCO na wadau wengine, kaeni kuanzia leo (jana), […]

Michezo

ULINZI, USALAMA KUIMARISHWA AFCON

Na VICTOR MKUMBO KATIKA kuendelea maandalizi ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika  (AFCON 2027), Kamati ya Kitaifa ya mashindano hayo, imeanza kuweka mikakati madhubuti ya ulinzi na usalama michezoni. Hayo yalielezwa katika kikao cha kamati hiyo kilipokutana na Mkuu wa Kitengo cha Usalama wa Michezo kutoka Umoja wa Mataifa (UN), Valeroo de Divitiis, […]

SINGIDA BS, YANGA SC KAZI IPO LEO

Na NASRA KITANA TIMU za soka za Singida Black Stars na Yanga, leo zinashuka dimbani kuchuana katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mchezo huo wa 12 kwa timu hizo unatarajiwa kupigwa saa 10:00 jioni katika Uwanja wa Airtel uliopo Singida. Akizungumzia mchezo huo, Kocha wa Yanga, Pedro Goncalves amesema timu yake ipo vizuri kuwania […]

TASWIRA VIGOGO VINNE LIGI KUU BARA IKO HIVI

Na WAANDISHI WETU WAKATI michuano ya Ligi Kuu Bara ikizidi kunoga, kasi ya ukusanyaji wa pointi kwa timu nne kubwa katika mechi 11 za kwanza msimu huu imepungua, ukilinganisha na msimu uliopita. Timu zilizocheza mechi 11 katika ligi hiyo msimu huu ni kinara Yanga, Simba (3), Azam FC (5) na Singida Black Stars nafasi ya […]

AHMED ALLY AJIVUNIA GUEYE

Na ABDUL DUNIA, ZANZIBAR MENEJA wa Habari wa Simba, Ahmed Ally, amesema nyota wa timu hiyo, Libasse Gueye ni moto wa kuotea mbali kwa mabeki wa timu za Ligi Kuu Tanzania Bara. Ahmed alitoa kauli hiyo juzi baada ya Simba kutoka suluhu dhidi ya Yanga katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi hiyo uliopigwa […]

UBINGWA LIGI KUU WAWATEGA BARKER, PEDRO 

Na ABDUL DUNIA, Zanzibar WAKATI Kocha wa Yanga, Pedro Goncalves akiahidi kuboresha zaidi aina ya uchezaji ili kukaribia ubingwa, Kocha wa Simba, Steve Barker anaamini timu yake ina nafasi ya kuwapiku wapinzani wake katika mbio za taji hilo msimu huu. Makocha hao walitoa kauli hizo juzi muda mchache baada ya kutoka suluhu katika mchezo wa […]

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?