Toleo Maalumu

Habari

SERIKALI ITAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI – DK. MWIGULU

Na MWANDISHI WETU WAZIRI MKUU Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuondoa vikwazo na kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ili kuboresha mazingira ya uwekezaji nchini. Ameyasema hayo (Jumatano, Juni 10, 2026), wakati akizindua ghala la forodha la kampuni ya Ciwaye Trading Co. Ltd Wilayani Chamwino mkoani Dodoma. “Kama tunavyoheshimu sekta ya umma, tunatakiwa kuheshimu sekta […]

YANGA, SIMBA VITA KALI

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Yanga kikijiandaa kuelekea mkoani Kigoma, kocha wa Simba Steve Barker amesema timu yake inahitaji kuwa makini  katika mechi zao na kuacha kuwafikiria  Yanga. Timu hizo zipo katika vita kali ya kila mmoja kutaka kuibuka na ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu. Katika msimamo wa Ligi Yanga […]

TANZANIA, SINGAPORE KUSHIRIKIANA KIMKAKATI

Na SUPERIUS ERNEST TANZANIA na Singapore, zimekubaliana kuendeleza na kuimarisha ushirikiano huku zikitia saini rasimu ya mkataba wa Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili na Kuzuia Ukwepaji Kodi (DTA). Aidha, pande mbili hizo zimetaja maeneo ya kipaumbele ambayo ni biashara, uwekezaji, kuwapa vijana elimu ya ujuzi na mageuzi ya uchumi wa kidijitali. Hayo yalibainishwa na Rais Dk. […]

RAIS DK. SAMIA ANADI FURSA KEMKEMU

Na MWANDISHI WETU RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amefungua milango ya uwekezaji kwa Singapore, huku akitaja maeneo matano ya kimkakati yaliyoandaliwa kwa fursa ya uwekezaji nchini. Baadhi ya maeneo hayo ni bandari, kuongeza thamani katika mnyororo wa kilimo na madini, nishati mbadala na utalii. Pia, Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam, amemshukuru Rais Dk. Samia na […]

WASOMI WADOKEZA MANUFAA YA UWEKEZAJI MAENEO MANNE

Na EMMANUEL MOHAMED BAADHI ya wasomi nchini, wamesema Tanzania itanufaika katika uwekezaji wa maeneo ya viwanda, kilimo, biashara na teknolojia. Manufaa hayo, yatatokana na ziara ya Rais wa Singapore, Tharman Shanmugaratnam, aliyepo nchini kwa siku tatu. Shanmugaratnam, aliwasili nchini jana kwa ziara hiyo, ambayo atahitimisha kesho. Katika ziara hiyo, Shanmugaratnam ameongozana na mwenza wake, Jane, […]

UCHAGUZI

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

Siasa

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Na MWANDISHI WETU ZIARA ya Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi, mkoani Mwanza, imerejesha matumani kwa wananchi wa jiji hilo. Kihongosi ambaye amefanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Furahisha, Nyamagana mkoani humo, ametatua baadhi ya changamoto za wananchi papo kwa papo. Miongoni mwa wananchi waliotatuliwa […]

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

SIKU 100 ZA KAZI NA UTU, ZAIKOSHA CCM

Na ZIANA BAKARI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na mwanzo mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake, uliofanyika katika siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, huku kikiwataka Watanzania, kuaminiana na kuzungumza kwa pamoja kwa kuwa jamii inahitaji maridhiano, siyo fujo. Hayo yalibainishwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, alipofanya mahojiano kupitia kipindi […]

TULIENI NYUMBANI

>>Ni agizo la Waziri Mkuu Dk. Mwigulu >>Simbachawene  asema maandamano ni haramu Na IRENE MWASOMOLA SERIKALI imewataka wananchi wasiokuwa na ulazima wa kutoka leo, watulie nyumbani. Agizo hilo limetolewa na Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, alipowasilisha salamu za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru, ambapo aliwatakia Watanzania kheri. Kupitia […]

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

Na ATHNATH MKIRAMWENI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani kufanya kazi zinazobeba ajenda za wananchi, zitakazotoa majawabu ya kero katika maeneo yao. Pia, CCM imesema itaendelea kusimamia vyema misingi ya uadilifu kwa watendaji wa Chama. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, jijini Dar es Salaam, alipozungumza na […]

Biashara

DEMOKRASIA ISIZICHAFUE NCHI ZETU – RAIS DK. SAMIA

Na ATHNATH MKIRAMWENI RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Tanzania na Kenya, kulinda na kuheshimu demokrasia kwa kuzingatia utaratibu, sheria na misingi ya uendeshaji wa serikali, hivyo wasikubali ichafue  nchi na mila zao. Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jioni, alipohutubia Jukwaa la Kibiashara kati ya Tanzania na Kenya, lililofanyika katika Kituo […]

YANGA, AL AHLY MECHI YA MAAMUZI

Na NASRA KITANA WAKATI timu ya Yanga ikitarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa huo ni mchezo wao wa maamuzi, hivyo hawatakubali kupoteza. Yanga wanatarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL),  dhidi ya Al Ahly ya Misri, […]

TRA INAVYOIMARISHA USHIRIKIANO NA WAFANYABIASHARA KUKUZA UCHUMI

Na IRENE MWASOMOLA TANGU kuingia madarakani kwa serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imesaidia kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hakika kazi kubwa imefanyika ya kuongeza makusanyo ya kodi kupitia TRA, hivyo kufanikisha dhima ya serikali ya utekelezaji wa maendeleo kwa wananchi na taifa.  […]

TASAF KIELELEZO CHA MAFANIKIO MIAKA 64 YA UHURU

NA SULEIMAN JONGO WATANZANIA wanaadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) ambao ulipatikana Desemba 9, mwaka 1961 huku kukiwa na mafanikio mbalimbali ya mfano. Kupatikana kwa Uhuru kunatokana na msukumo wa wananchi wa Tanzania Bara kutaka kujinasua katika makucha ya wakoloni ambayo hawakutoa nafasi kwa Waafrika weusi kujiletea maendeleo katika sekta mbalimbali zenye […]

Michezo

YANGA, SIMBA VITA KALI

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Yanga kikijiandaa kuelekea mkoani Kigoma, kocha wa Simba Steve Barker amesema timu yake inahitaji kuwa makini  katika mechi zao na kuacha kuwafikiria  Yanga. Timu hizo zipo katika vita kali ya kila mmoja kutaka kuibuka na ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu huu. Katika msimamo wa Ligi Yanga […]

YANGA, SIMBA ZATOA MSIMAMO LIGI KUU BARA

Na NASRA KITANA TIMU za Simba na Yanga zimetoa msimamo kwamba zipo tayari muda wowote kuendelea na mechi zao tano za Ligi Kuu Tanzania Bara. Ligi Kuu Tanzania ilisimama kwa muda kupisha mechi za Kimataifa za kirafiki ambazo zilitakiwa kucheza Juni 5 na Juni 9, mwaka huu nchini Morocco ambazo kwa sasa zimefutwa Awali Taifa […]

MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

Na FRED ALFREDDodoma WAZIRI Mkuu, Mwigulu Nchemba, ameipongeza timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17, Serengeti Boys, kwa kuiheshimisha Tanzania katika ulimwengu wa soka, huku akisema si muda mrefu taifa litashuhudia Kombe la Afrika likitua nchini. Dk. Mwigulu alitoa pongezi hizo bungeni jijini Dodoma kabla ya kuanza kujibu maswali ya papo […]

SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

Na VICTOR MKUMBO, Morocco WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amesema timu ya vijana wenye umri wa miaka 17 ‘Serengeti Boys’, imeiheshimisha Tanzania japokuwa haijatwaa taji la michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON U-17). Serengeti Boys, juzi ilishika nafasi ya pili katika fainali za AFCON U 17, baada ya kufungwa […]

ASANTE SERENGETI BOYS

VICTOR MKUMBO, Morocco Na AMINA KASHEBA TIMU ya Taifa ya Serengeti Boys, im emwagiwa salamu za pongezi kwa kujituma,  kuweka mbele uzalendo hadi kufika fainali ya  michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON U-17). Serengeti boys inayoundwa na wachezaji wenye umri chini ya miaka 17, jana usiku ilipepetana na Senegal katika mchezo wa fainali uliopigwa Uwanja […]

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?