Toleo Maalumu

Habari

CHINA YAZIDI KUSISITIZA USHIRIKIANO KWA AFRIKA

Na Suleiman Jongo, Beijing – China CHINA imezihakikishia nchi za Afrika kuwa, itaendeleza ushirikiano wenye manufaa kwa lengo la kufanisha jitihada za kujiendeleza kichumi  na kupiga hatua kubwa za maendeleo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya China, Shuai Guipeng, alipokuwa akizungumza kuhusu Jukwaa la Ushirikiano kati ya China na Afrika […]

SIMBA, SINGIDA BS MACHO ‘KAGAME CUP’

Na NASRA KITANA WAKATI droo ya michuano ya ‘Kagame Cup’, ikitarajiwa kufanyika leo, timu za Simba na Singida Black Stars  zipo mbioni kutua nchini Rwanda. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kufanyika Julai 24 hadi Agosti 7, mwaka huu nchini Rwanda, Jumla ya timu 12 zinatarajiwa kushiriki mashindano ya mwaka huu ambazo ni bingwa mtetezi Singida Black […]

BIL.8/- KUISUKA AZAM FC

Na NASRA KITANA WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara msimu 2025/26 ukiwa umemalizika, uongozi wa klabu ya Azam FC umetangaza bajeti ya sh.bilioni nane kwa ajili ya kusuka kikosi chao cha msimu ujao. Katika msimu  uliomalizika hivi karibuni, Azam haikuambulia chochote baada ya kumaliza nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi ikiwa na pointi 64 na […]

WADAU WAMGOMEA SAMATTA

VICTOR MKUMBO Na DEUSDEDIT UNDOLE SIKU chache baada ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kutangaza kustaafu kuichezea timu hiyo, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma, Kocha, Charles Mkwasa, Ismail Aden Rage na Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe wameibuka na kutoa maoni yao. Samatta alitangaza kupitia mtandao wa Instagram kwamba […]

UCHAGUZI

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

Siasa

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Na MWANDISHI WETU ZIARA ya Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi, mkoani Mwanza, imerejesha matumani kwa wananchi wa jiji hilo. Kihongosi ambaye amefanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Furahisha, Nyamagana mkoani humo, ametatua baadhi ya changamoto za wananchi papo kwa papo. Miongoni mwa wananchi waliotatuliwa […]

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

SIKU 100 ZA KAZI NA UTU, ZAIKOSHA CCM

Na ZIANA BAKARI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na mwanzo mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake, uliofanyika katika siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, huku kikiwataka Watanzania, kuaminiana na kuzungumza kwa pamoja kwa kuwa jamii inahitaji maridhiano, siyo fujo. Hayo yalibainishwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, alipofanya mahojiano kupitia kipindi […]

TULIENI NYUMBANI

>>Ni agizo la Waziri Mkuu Dk. Mwigulu >>Simbachawene  asema maandamano ni haramu Na IRENE MWASOMOLA SERIKALI imewataka wananchi wasiokuwa na ulazima wa kutoka leo, watulie nyumbani. Agizo hilo limetolewa na Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, alipowasilisha salamu za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru, ambapo aliwatakia Watanzania kheri. Kupitia […]

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

Na ATHNATH MKIRAMWENI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani kufanya kazi zinazobeba ajenda za wananchi, zitakazotoa majawabu ya kero katika maeneo yao. Pia, CCM imesema itaendelea kusimamia vyema misingi ya uadilifu kwa watendaji wa Chama. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, jijini Dar es Salaam, alipozungumza na […]

Biashara

DEMOKRASIA ISIZICHAFUE NCHI ZETU – RAIS DK. SAMIA

Na ATHNATH MKIRAMWENI RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Tanzania na Kenya, kulinda na kuheshimu demokrasia kwa kuzingatia utaratibu, sheria na misingi ya uendeshaji wa serikali, hivyo wasikubali ichafue  nchi na mila zao. Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jioni, alipohutubia Jukwaa la Kibiashara kati ya Tanzania na Kenya, lililofanyika katika Kituo […]

YANGA, AL AHLY MECHI YA MAAMUZI

Na NASRA KITANA WAKATI timu ya Yanga ikitarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa huo ni mchezo wao wa maamuzi, hivyo hawatakubali kupoteza. Yanga wanatarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL),  dhidi ya Al Ahly ya Misri, […]

TRA INAVYOIMARISHA USHIRIKIANO NA WAFANYABIASHARA KUKUZA UCHUMI

Na IRENE MWASOMOLA TANGU kuingia madarakani kwa serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imesaidia kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hakika kazi kubwa imefanyika ya kuongeza makusanyo ya kodi kupitia TRA, hivyo kufanikisha dhima ya serikali ya utekelezaji wa maendeleo kwa wananchi na taifa.  […]

Michezo

SIMBA, SINGIDA BS MACHO ‘KAGAME CUP’

Na NASRA KITANA WAKATI droo ya michuano ya ‘Kagame Cup’, ikitarajiwa kufanyika leo, timu za Simba na Singida Black Stars  zipo mbioni kutua nchini Rwanda. Michuano hiyo inatarajiwa kuanza kufanyika Julai 24 hadi Agosti 7, mwaka huu nchini Rwanda, Jumla ya timu 12 zinatarajiwa kushiriki mashindano ya mwaka huu ambazo ni bingwa mtetezi Singida Black […]

BIL.8/- KUISUKA AZAM FC

Na NASRA KITANA WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara msimu 2025/26 ukiwa umemalizika, uongozi wa klabu ya Azam FC umetangaza bajeti ya sh.bilioni nane kwa ajili ya kusuka kikosi chao cha msimu ujao. Katika msimu  uliomalizika hivi karibuni, Azam haikuambulia chochote baada ya kumaliza nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi ikiwa na pointi 64 na […]

WADAU WAMGOMEA SAMATTA

VICTOR MKUMBO Na DEUSDEDIT UNDOLE SIKU chache baada ya nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta kutangaza kustaafu kuichezea timu hiyo, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamisi Mwinjuma, Kocha, Charles Mkwasa, Ismail Aden Rage na Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe wameibuka na kutoa maoni yao. Samatta alitangaza kupitia mtandao wa Instagram kwamba […]

UKAME BASI MSIMBAZI

Na ABDUL DUNIA, Pemba BAADA ya kusubiri kwa miaka mitano sasa, Simba imetwaa taji lake kubwa la kwanza kufuatia kuifunga Azam FC bao 1-0 katika fainali ya Kombe la FA. Simba ilivunja mwiko huo wa muda mrefu katika mtanange huo uliopigwa jana kuanzia saa 11:00 jioni katika Uwanja wa Gombani, Pemba. Bao la kujifunga la […]

YANGA, SIMBA SIKU YA KILIO,KICHEKO

Na NASRA KITANA LEO siku ya kilio au kicheko, kwa timu za Yanga na Simba zitakaposhuka  kucheza viwanja tofauti katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Timu hizo zitashuka dimbani katika michezo ya ligi hiyo kuwania ubingwa ambapo timu zote 15 zinazoshiriki michuano hiyo, zitacheza katika viwanja tofauti. Yanga na Simba watakuwa nyumbani katika mechi […]

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?