Toleo Maalumu

Habari

DK. MWIGULU AHIMIZA WANANCHI KUIOMBEA AMANI YA NCHI

Na MWANDISHI WETU WAZIRI MKUU Dk. Mwigulu Nchemba, amewahimiza wananchi kuendelea kuiombea Tanzania ili amani, umoja na mshikamano wa kitaifa viendelee kuimarika sambamba na nchi kuendelea kupiga hatua za maendeleo katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi. Amesema hayo leo Jumapili, Mei 17, 2026 aliposhiriki ibada katika (KKKT) Usharika wa Kondoa Mjini, Jimbo la Kondoa, […]

DANGOTE AIPONGEZA SERIKALI, AANGAZIA FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI

Na MWANDISHI WETU RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, leo amekutana na kuzungumza na Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group, Alhaji Aliko Dangote, Ikulu Dar es Salaam. Mazungumzo hayo yalijielekeza katika kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na makampuni ya Dangote katika maeneo ya nishati, viwanda, bandari, gesi, mbolea na miundombinu. Aidha, Alhaji Dangote ameipongeza Serikali […]

SERIKALI YAIPONGEZA PUMA ENERGY KWA MFUMO MPYA WA KIDIJITALI

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba amesema mfumo wa kidijitali wa kutoa huduma za mafuta na gesi wa PRIS uliozinduliwa na Puma Energy Tanzania ni hatua muhimu katika kuimarisha uchumi wa kisasa unaotegemea teknolojia ndani ya sekta ya mafuta nchini. Salome alitoa kauli hiyo wakati wa uzinduzi wa mfumo huo uliofanyika katika […]

UCHAGUZI

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

Siasa

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Na MWANDISHI WETU ZIARA ya Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi, mkoani Mwanza, imerejesha matumani kwa wananchi wa jiji hilo. Kihongosi ambaye amefanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Furahisha, Nyamagana mkoani humo, ametatua baadhi ya changamoto za wananchi papo kwa papo. Miongoni mwa wananchi waliotatuliwa […]

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

SIKU 100 ZA KAZI NA UTU, ZAIKOSHA CCM

Na ZIANA BAKARI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na mwanzo mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake, uliofanyika katika siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, huku kikiwataka Watanzania, kuaminiana na kuzungumza kwa pamoja kwa kuwa jamii inahitaji maridhiano, siyo fujo. Hayo yalibainishwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, alipofanya mahojiano kupitia kipindi […]

TULIENI NYUMBANI

>>Ni agizo la Waziri Mkuu Dk. Mwigulu >>Simbachawene  asema maandamano ni haramu Na IRENE MWASOMOLA SERIKALI imewataka wananchi wasiokuwa na ulazima wa kutoka leo, watulie nyumbani. Agizo hilo limetolewa na Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, alipowasilisha salamu za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru, ambapo aliwatakia Watanzania kheri. Kupitia […]

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

Na ATHNATH MKIRAMWENI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani kufanya kazi zinazobeba ajenda za wananchi, zitakazotoa majawabu ya kero katika maeneo yao. Pia, CCM imesema itaendelea kusimamia vyema misingi ya uadilifu kwa watendaji wa Chama. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, jijini Dar es Salaam, alipozungumza na […]

Biashara

DEMOKRASIA ISIZICHAFUE NCHI ZETU – RAIS DK. SAMIA

Na ATHNATH MKIRAMWENI RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Tanzania na Kenya, kulinda na kuheshimu demokrasia kwa kuzingatia utaratibu, sheria na misingi ya uendeshaji wa serikali, hivyo wasikubali ichafue  nchi na mila zao. Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jioni, alipohutubia Jukwaa la Kibiashara kati ya Tanzania na Kenya, lililofanyika katika Kituo […]

YANGA, AL AHLY MECHI YA MAAMUZI

Na NASRA KITANA WAKATI timu ya Yanga ikitarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa huo ni mchezo wao wa maamuzi, hivyo hawatakubali kupoteza. Yanga wanatarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL),  dhidi ya Al Ahly ya Misri, […]

TRA INAVYOIMARISHA USHIRIKIANO NA WAFANYABIASHARA KUKUZA UCHUMI

Na IRENE MWASOMOLA TANGU kuingia madarakani kwa serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imesaidia kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hakika kazi kubwa imefanyika ya kuongeza makusanyo ya kodi kupitia TRA, hivyo kufanikisha dhima ya serikali ya utekelezaji wa maendeleo kwa wananchi na taifa.  […]

TASAF KIELELEZO CHA MAFANIKIO MIAKA 64 YA UHURU

NA SULEIMAN JONGO WATANZANIA wanaadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) ambao ulipatikana Desemba 9, mwaka 1961 huku kukiwa na mafanikio mbalimbali ya mfano. Kupatikana kwa Uhuru kunatokana na msukumo wa wananchi wa Tanzania Bara kutaka kujinasua katika makucha ya wakoloni ambayo hawakutoa nafasi kwa Waafrika weusi kujiletea maendeleo katika sekta mbalimbali zenye […]

Michezo

MTIFUANO MKALI NNE BORA LIGI KUU TANZANIA BARA

Na VICTOR MKUMBO WAKATI msimu wa Ligi Kuu Tanzania Bara ukielekea ukingoni, vita ya timu kuwania nafasi ya kucheza michuano ya kimataifa msimu ujao, imezidi kunoga. Tanzania ni moja ya nchi ambazo zinatarajia kupeleka timu nne msimu ujao katika michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF). Katika michuano hiyo msimu ujao, Tanzania […]

NI KISASI SIMBA QUEENS,YANGA LEO

NASRA KITANA na AMINA   KASHEBA MIAMBA ya soka la wanawake, Simba  Queens na Yanga Princess, leo zinashuka dimbani kuumana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Bara. Pambano hilo, limepangwa kufanyika saa 11.00 jioni katika Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Katika msimamo wa ligi, Simba Queens inaongoza ikiwa na pointi 43 wakati […]

YANGA YAGEUZA KIBAO

Na AMINA KASHEBA UONGOZI wa klabu ya Yanga umetangaza kujipanga kushirikiana na benchi la ufundi  kuhakikisha timu inashinda michezo saba iliyobaki ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Kauli hiyo imetolewa ikiwa ni siku moja baada ya kukishuhudia kikosi chao kikifungwa mabao 3-2 na Dodoma Jiji,  katika mchezo uliofanyika Uwanja wa Airtel mkoani Singida. Yanga imebakiza mechi […]

POINTI UBINGWA YANGA SC KUSAKWA LEO

Na NASRA KITANA WAKATI Yanga ikihesabu siku na pointi za kutangaza ubingwa, Yanga leo inajitupa tena dimbani kuivaa Dodoma Jiji katika katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Pambano hilo, limepangwa kupigwa katika Uwanja wa Airtel uliopo  Singida Mjini, kuanzia saa 10:15 jioni. Yanga itacheza mechi hiyo ikiwa ni siku chache baada ya Coastal Union […]

HATI YA MAKUBALIANO YA KUANDAA AFCON 2027 YASAINIWA

Na MWANDISHI WETU NCHI  waandaji wa Mashindano ya Kombe la Mataifa  ya Afrika 2027 (AFCON 2027), wamesaini hati ya makubaliano ya pamoja inayojulikana kama CAF Joint Resolution – TotalEnergies AFCON PAMOJA 2027, leo Mei  11, 2026. Nchi hizo ambazo ni Tanzania Kenya na Uganda, zimesaini hati hiyo kwa lengo la kuimarisha uratibu na ushirikiano katika […]

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?