Toleo Maalumu

Habari

JINA LA WAZIRI MKUU MTEULE KUWASILISHWA BUNGENI LEO

NA WAANDISHI WETU, DODOMA LEO ndiyo siku ambayo swali la nani atakuwa waziri mkuu mpya litapatiwa majibu, ambapo jina la kiongozi huyo anayerithi mikoba ya Waziri Mkuu mstaafu Kassim Majaliwa, litawekwa hadharani. Kwa mujibu wa Spika wa Bunge, Mussa Zungu akiahirisha kikao cha pili cha mkutano wa kwanza wa Bunge la 13, bungeni jijini hapa […]

NYOTA TAIFA STARS  MZUKA UMEPANDA

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Taifa Stars kikiwa nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo dhidi ya Kuwait, wachezaji wa timu hiyo wameweka wazi kuwa watahakikisha wanapambana kwa jasho na damu ili kupata ushindi. Stars inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na Kuwait katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa Kalenda […]

RONALDO KUTUNDIKA DALUGA

RIYADH, Saudi Arabia STAA Cristiano Ronaldo, amethibitisha kwamba atastaafu kucheza soka baada ya kumalizika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2026. Mkongwe huyo raia wa Ureno mwenye umri wa miaka 40, amesema anatarajia kustaafu soka baada ya mwaka mmoja au miwili ijayo. Msimu ujao wa michuano ya Kombe la Dunia, unatarajiwa kufanyika katika nchi za […]

MWAKINYO KUPANDA ULINGONI

Na AMINA KASHEBA BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo, anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa katika pambano la ‘Boxing on Boxing Day’, linalotarajiwa kufanyika Desemba 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kocha wa Mwakinyo, Kanda Kabongo amesema bondia wake yupo tayari kwa pambano kufuatia kufanya maandalizi ya kutosha. Amesema […]

WADAU WA SOKA WAMPONGEZA ZUNGU 

AMINA KASHEBA Na NASRA KITANA BAADA ya Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Zungu kuibuka mshindi wa kinyang’anyiro cha Kiti cha Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ambapo anakuwa Spika wa tisa wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wadau wa soka wamempongeza kwa kuibuka kidedea. Zungu aliibuka mshindi na kutangazwa […]

Uchaguzi

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

MAAGIZO YA DK. MWINYI KWA WATUMISHI Z’BAR

Na MWANDISHI WETU, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza watumishi wa umma kuendelea kufanya kazi kwa uzalendo na uwajibikaji wakizingatia misingi ya utumishi na utawala bora ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Amesema lengo la serikali ni kuimarisha zaidi maslahi ya watumishi wa umma nchini, kulingana na […]

Siasa

JINA LA WAZIRI MKUU MTEULE KUWASILISHWA BUNGENI LEO

NA WAANDISHI WETU, DODOMA LEO ndiyo siku ambayo swali la nani atakuwa waziri mkuu mpya litapatiwa majibu, ambapo jina la kiongozi huyo anayerithi mikoba ya Waziri Mkuu mstaafu Kassim Majaliwa, litawekwa hadharani. Kwa mujibu wa Spika wa Bunge, Mussa Zungu akiahirisha kikao cha pili cha mkutano wa kwanza wa Bunge la 13, bungeni jijini hapa […]

SPIKA ZUNGU : NITAZINGATIA HAKI, UWAZI

MUSSA YUSUPH Na SELINA MATHEW,Dodoma LITAKUWA Bunge la haki na uwazi, hiyo ndiyo ahadi aliyoitoa Spika mpya wa Bunge, Mussa Zungu, baada ya wabunge kumchagua kwa kura za kishindo kuongoza mhimili huo. Zungu ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Mkoa wa Dar es Salaam, anakuwa Spika wa Bunge la 13 baada ya kupata kura […]

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO DODOMA

Na MWANDISHI WETU, DODOMA MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho, Novemba 11, 2025, jijini Dodoma. Mkutano huo unafanyika baada ya kukamilika kwa shughuli za Uchaguzi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuitisha Bunge hilo kupitia tangazo lililotolewa katika Gazeti la Serikali. Kupitia tangazo hilo, wabunge wateule walipewa nafasi […]

UVCCM YAWAPA POLE WALIOPATA MADHILA

Na REHEMA MAIGALA UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umetoa pole kwa madhila waliyoyapata baadhi ya Watanzania, yaliyotokea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, mwaka huu, katika baadhi ya mikoa nchini, huku ukiwasihi vijana kutojiingiza katika vitendo vya machafuko. Pia, umelaani vitendo hivyo vya uvunjifu wa amani na kuwataka vijana, wazazi na jamii, […]

Biashara

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

NA MWANDISHI WETU, RIYADH KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Hassan Abbasi, ameihakikishia jumuiya ya kimataifa kuwa hali ya amani na utalii nchini Tanzania iko imara, kufuatia machafuko yaliyotokea katika baadhi ya maeneo wakati na baada ya uchaguzi. Dk. Abbasi ametoa kauli hiyo leo Novemba 9, 2025, jijini Riyadh, Saudi Arabia, alipokuwa akiongoza […]

MAJALIWA : MRADI GESI YA LNG KUIKOMBOA LINDI KIUCHUMI

Na Mussa Yusuph, Lindi WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema utekelezaji wa mradi wa gesi ya LNG unaotarajiwa kufanyika mkoani Lindi ni ukombozi wa kiuchumi katika mkoa huo na Taifa.Kutokana na hilo, Majaliwa ametoa wito kwa wananchi mkoani Lindi kumpigia kura Mgombea Urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan akamilishe taratibu zilizobaki kutekeleza mradi huo wa […]

BILIONI 499/- ZAPATIKANA KUPITIA UTALII

Na Mwandishi Wetu  IDADI ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali Tanzania imeongezeka kutoka 786,710 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 hadi kufikia 1,493,135 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 na kuchangia zaidi ya sh. bilioni 499 katika pato la Taifa. Kamishna Msaidizi kutoka Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), July Lyimo, alisema hayo jijini Arusha alipowasilisha mada katika […]

Michezo

NYOTA TAIFA STARS  MZUKA UMEPANDA

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Taifa Stars kikiwa nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo dhidi ya Kuwait, wachezaji wa timu hiyo wameweka wazi kuwa watahakikisha wanapambana kwa jasho na damu ili kupata ushindi. Stars inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na Kuwait katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa Kalenda […]

RONALDO KUTUNDIKA DALUGA

RIYADH, Saudi Arabia STAA Cristiano Ronaldo, amethibitisha kwamba atastaafu kucheza soka baada ya kumalizika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2026. Mkongwe huyo raia wa Ureno mwenye umri wa miaka 40, amesema anatarajia kustaafu soka baada ya mwaka mmoja au miwili ijayo. Msimu ujao wa michuano ya Kombe la Dunia, unatarajiwa kufanyika katika nchi za […]

MWAKINYO KUPANDA ULINGONI

Na AMINA KASHEBA BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo, anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa katika pambano la ‘Boxing on Boxing Day’, linalotarajiwa kufanyika Desemba 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kocha wa Mwakinyo, Kanda Kabongo amesema bondia wake yupo tayari kwa pambano kufuatia kufanya maandalizi ya kutosha. Amesema […]

WADAU WA SOKA WAMPONGEZA ZUNGU 

AMINA KASHEBA Na NASRA KITANA BAADA ya Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Zungu kuibuka mshindi wa kinyang’anyiro cha Kiti cha Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ambapo anakuwa Spika wa tisa wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wadau wa soka wamempongeza kwa kuibuka kidedea. Zungu aliibuka mshindi na kutangazwa […]

KOCHA GAMONDI AJIVUNIA TAIFA STARS

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Taifa Stars kikianza mazoezi rasmi kwa maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kuwait, Kaimu Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amesema kuwa anajivunia kikosi alichokuwa nacho kuwa kitaienda kufanya vizuri. Gamond ambaye ni Kocha wa Singida Black Stars, ameiongoza Stars kwa mara ya kwanza katika […]

Burudani

NYOTA TAIFA STARS  MZUKA UMEPANDA

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Taifa Stars kikiwa nchini Misri kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo dhidi ya Kuwait, wachezaji wa timu hiyo wameweka wazi kuwa watahakikisha wanapambana kwa jasho na damu ili kupata ushindi. Stars inatarajiwa kushuka dimbani kumenyana na Kuwait katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa Kalenda […]

RONALDO KUTUNDIKA DALUGA

RIYADH, Saudi Arabia STAA Cristiano Ronaldo, amethibitisha kwamba atastaafu kucheza soka baada ya kumalizika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2026. Mkongwe huyo raia wa Ureno mwenye umri wa miaka 40, amesema anatarajia kustaafu soka baada ya mwaka mmoja au miwili ijayo. Msimu ujao wa michuano ya Kombe la Dunia, unatarajiwa kufanyika katika nchi za […]

MWAKINYO KUPANDA ULINGONI

Na AMINA KASHEBA BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo, anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa katika pambano la ‘Boxing on Boxing Day’, linalotarajiwa kufanyika Desemba 26, mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza jijini Dar es Salaam, Kocha wa Mwakinyo, Kanda Kabongo amesema bondia wake yupo tayari kwa pambano kufuatia kufanya maandalizi ya kutosha. Amesema […]

WADAU WA SOKA WAMPONGEZA ZUNGU 

AMINA KASHEBA Na NASRA KITANA BAADA ya Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mussa Zungu kuibuka mshindi wa kinyang’anyiro cha Kiti cha Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano ambapo anakuwa Spika wa tisa wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wadau wa soka wamempongeza kwa kuibuka kidedea. Zungu aliibuka mshindi na kutangazwa […]

KOCHA GAMONDI AJIVUNIA TAIFA STARS

Na NASRA KITANA WAKATI kikosi cha timu ya Taifa Stars kikianza mazoezi rasmi kwa maandalizi ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Kuwait, Kaimu Kocha Mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amesema kuwa anajivunia kikosi alichokuwa nacho kuwa kitaienda kufanya vizuri. Gamond ambaye ni Kocha wa Singida Black Stars, ameiongoza Stars kwa mara ya kwanza katika […]

Maoni ya Mhariri

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

error: Content is protected !!