Tuesday, December 16, 2025

Toleo Maalumu

Habari

AWESO AAGIZA MGAWO MAJI UWE SHIRIKISHI

Na MWANDISHI MAALUMU WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, ametoa maagizo ya mgawo wa maji kuwa shirikishi kwa kuwahusisha viongozi wa mitaa, nyumba na wilaya kuhakikisha ratiba ya upatikanaji wa maji inatekelezwa kwa ufanisi. Aweso alitoa kauli hiyo jijini Dar es Salaam, katika kikao kazi na Meneja wa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira […]

DK. NCHIMBI ATOA AGIZO KWA PROF. MKENDA

Na ANGELA SEBASTIAN, Bukoba MAKAMU wa Rais Balozi, Dk.Emmanuel Nchimbi, amemwagiza Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, kutatua changamoto ya fedha za ujenzi wa bweni la wavulana na nyumba za walimu kwa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) tawi la Kagera. Balozi Dk. Nchimbi, alieleza hayo mjini hapa, alipoweka jiwe la […]

KAULI UN YAWAKOSHA MABALOZI, WAHADHIRI

ATHNATH MKIRAMWENINA ELIZABETH JOHN MABALOZI na wanadiplomasia, wamesema hatua ya Umoja wa Mataifa (UN), kuitaja Tanzania kuwa rejea ya amani Afrika na duniani, ni uthibitisho kwamba inakubalika kimataifa. Juzi, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres, alisema Tanzania imekuwa rejea muhimu ya amani na mshikamano wa kijamii barani Afrika na duniani kote. Guterres […]

OUNAHI TEGEMEO MOROCCO AFCON 2025

RABAT, Morocco KIUNGO wa kati wa Morocco, Azzedine Ounahi ametajwa kuwa miongoni mwa nyota wanaotarajiwa kutazamwa zaidi katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Michuano hiyo imepangwa kuanza kufanyika Desemba 21, mwaka huu nchini Morocco. Morocco imepangwa kundi A na timu za Mali, Zambia na Comoros katika michuano hiyo yenye kuvuta hisia […]

TPLB YAGUSIA WAZO LA FIFA USAWA WA KALENDA

Na ABDUL DUNIA SIKU moja baada ya Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, kusisitiza umuhimu wa usawa katika kalenda za soka duniani kote, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), imesema wazo hilo ni muhimu na litakuwa na manufaa makubwa katika soka hapa nchini. Infantino alitoa maoni hayo katika Kongamano la […]

UCHAGUZI

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

MAAGIZO YA DK. MWINYI KWA WATUMISHI Z’BAR

Na MWANDISHI WETU, Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewasisitiza watumishi wa umma kuendelea kufanya kazi kwa uzalendo na uwajibikaji wakizingatia misingi ya utumishi na utawala bora ili kutoa huduma bora kwa wananchi. Amesema lengo la serikali ni kuimarisha zaidi maslahi ya watumishi wa umma nchini, kulingana na […]

Siasa

TULIENI NYUMBANI

>>Ni agizo la Waziri Mkuu Dk. Mwigulu >>Simbachawene  asema maandamano ni haramu Na IRENE MWASOMOLA SERIKALI imewataka wananchi wasiokuwa na ulazima wa kutoka leo, watulie nyumbani. Agizo hilo limetolewa na Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, alipowasilisha salamu za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru, ambapo aliwatakia Watanzania kheri. Kupitia […]

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

Na ATHNATH MKIRAMWENI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani kufanya kazi zinazobeba ajenda za wananchi, zitakazotoa majawabu ya kero katika maeneo yao. Pia, CCM imesema itaendelea kusimamia vyema misingi ya uadilifu kwa watendaji wa Chama. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, jijini Dar es Salaam, alipozungumza na […]

WASIRA : VIJANA MSIKUBALI KUTUMIKA KUVURUGA AMANI

Na MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewataka vijana kutokubali kutumika kuvuruga amani na utulivu nchini kwa madai ya kudai haki. Amesema Tanzania haina uadui na nchi nyingine, lakini yapo baadhi ya mataifa, yanayoumizwa na kasi ya maendeleo iliyopo nchini. Amesema wanafahamu Tanzania inaelekea kujikomboa kiuchumi, hivyo kuondoka […]

TUTAILINDA NCHI YETU KWA GHARAMA – PM MWIGULU

Na ELIZABETH JOHN WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania, kuwa makini dhidi ya makundi ya watu wenye nia ovu ya kuichafua na kuiharibu Tanzania kwa maslahi binafsi. Dk. Mwigulu, amesema serikali itawalinda Watanzania na rasilimali zake zote kwa gharama yoyote kupitia vyombo vya ulinzi na usalama. Waziri Mkuu, aliyasema hayo kufuatia matukio […]

MAWAZIRI SABA NA MIKAKATI YA KAZI

Na WAANDISHI WETU, Dodoma ZIKIWA zimepita siku nane (Sawa na saa 192), tangu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan awaapishe mawaziri na naibu mawaziri, wametaja vipaumbele vyao katika utekelezaji wa majukumu yao vyenye dhamira ya kuwatumikia wananchi. Baadhi ya mawaziri baada ya kukabidhiwa vijiti vya kuongoza wizara zao, wameeleza walivyojipanga kutimiza ahadi zilizotolewa na Rais Dk. […]

Biashara

TASAF KIELELEZO CHA MAFANIKIO MIAKA 64 YA UHURU

NA SULEIMAN JONGO WATANZANIA wanaadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara) ambao ulipatikana Desemba 9, mwaka 1961 huku kukiwa na mafanikio mbalimbali ya mfano. Kupatikana kwa Uhuru kunatokana na msukumo wa wananchi wa Tanzania Bara kutaka kujinasua katika makucha ya wakoloni ambayo hawakutoa nafasi kwa Waafrika weusi kujiletea maendeleo katika sekta mbalimbali zenye […]

SERIKALI YAIVALIA NJUGA TANZANITE

Na MWANDISHI WETU WAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde, amesema serikali imejipanga upya kuyatangaza na kuyainua madini ya Tanzanite kimataifa kupitia mkakati wa kurejesha hadhi ya jiwe hilo adimu duniani. Akizungumza katika mkutano na wachimbaji wadogo na wafanyabiashara wa madini ya vito katika eneo tengefu la ukuta wa Magufuli, Mirerani mkoani Manyara, Waziri Mavunde, alisema hatua […]

DK. MWIGULU ATOA SIKU 10

Na MWANDISHI MAALUMU WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba, ametoa siku 10 kwa watendaji wa taasisi zinazohusika na usafiri wa mwendokasi jijini Dar es Salaam, kuainisha maeneo ya kufanyiwa kazi haraka, kurejesha hali ya mpito wakati serikali ikitafuta suluhisho la kudumu. “Wizara ya Ujenzi, TANROADS, DART, UDART, OWM-TAMISEMI, TANESCO na wadau wengine, kaeni kuanzia leo (jana), […]

TRENI ZA JIJI DAR, DODOMA ZANUKIA

Na ELIZBAETH JOHN MAANDALIZI ya ujenzi wa njia za treni za mijini katika majiji ya Dar es Salaam na Dodoma yameanza rasmi, hatua inayotarajiwa kubadili kwa kiasi kikubwa mfumo wa usafiri wa abiria na kupunguza msongamano wa magari. Akizungumza Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni […]

SIMBASC YAITA MASHABIKI KWA MKAPA

Na NASRA KITANA WAKATI Simba ikitarajiwa kuvaana na Petro de Luanda kesho, uongozi wa Wekundu hao wa Msimbazi wamewaomba mashabiki wake kujitokeza kwa wingi katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kuisapoti miamba hiyo. Simba itachuana na Petro de Luanda saa 10:00 jioni katika mchezo wa kwanza wa kundi D wa Ligi ya Mabingwa […]

Michezo

OUNAHI TEGEMEO MOROCCO AFCON 2025

RABAT, Morocco KIUNGO wa kati wa Morocco, Azzedine Ounahi ametajwa kuwa miongoni mwa nyota wanaotarajiwa kutazamwa zaidi katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025. Michuano hiyo imepangwa kuanza kufanyika Desemba 21, mwaka huu nchini Morocco. Morocco imepangwa kundi A na timu za Mali, Zambia na Comoros katika michuano hiyo yenye kuvuta hisia […]

KIPA NIGERIA ASHUSHA PRESHA

CAIRO, Misri KIPA wa timu ya Taifa ya Nigeria,  Stanley Nwabali ameshusha presha baada ya benchi la ufundi baada ya kujiunga na timu hiyo nchini Misri. Nigeria imeweka kambi yake nchini humo kujiandaa na michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayotarajiwa kufanyika nchini Morocco kuanzia Desemba 21, mwaka huu. Timu hiyo […]

TRA UNITED KAZI KAZI

Na AMINA KASHEBA TIMU ya soka ya TRA United chini ya Kocha Etiene Ndayiragije kesho itaanza mazoezi ya kujiandaa kwa mechi mbalimbali ikiwemo Ligi Kuu Tanzania Bara. Akizungumza na UHURU, Ofisa Habari wa klabu hiyo, Christina Mwagala, amesema baada Ligi Kuu Tanzania Bara kusimama kupisha michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON), kikosi chao […]

BONDIA MWAKYEMBE AMKUBALI MMALAWI

Na AMINA KASHEBA PAMOJA na kushinda kwa TKO bondia wa ngumi za kulipwa, Mtanzania Emmanuel Mwakyembe, amempongeza mpinzani wake Tionge Chingeni kutoka Malawi kwa kuonyesha ushindani mkubwa katika pambano hilo. Mwakyembe alimchapa Chingeni kwa TKO raundi ya tano, mwishoni mwa wiki katika pambano la ‘Punch to Punch’,  lisilo la ubingwa uzito wa kati lililofanyika Ukumbi […]

TPLB YAGUSIA WAZO LA FIFA USAWA WA KALENDA

Na ABDUL DUNIA SIKU moja baada ya Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, kusisitiza umuhimu wa usawa katika kalenda za soka duniani kote, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB), imesema wazo hilo ni muhimu na litakuwa na manufaa makubwa katika soka hapa nchini. Infantino alitoa maoni hayo katika Kongamano la […]

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?