Toleo Maalumu

Currently Playing

Habari

DK. NCHIMBI AKAGUA UWANJA WA AFCON ARUSHA

Na MWANDISHI WETU MAKAMU wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Arusha, utakaotumika katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027), unaojengwa Jijini Arusha. Makamu wa Rais amepongeza maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo, ambapo amesema ni faraja kuona ahadi ya Rais Dk. […]

KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

Na SUPERIUS ERNEST MAKAMU wa Rais Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Katiba ndiyo msingi mkubwa wa haki na maendeleo, hivyo inatakiwa kuwa ajenda ya watu wote kwani ndiyo utashi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Pia, alisisitiza upendo, umoja, mshikamano katika kujenga taifa lenye maridhiano, linalojengwa na haki kama msingi wa amani. Dk. Nchimbi aliyasema […]

MABASI YA UMEME REKODI ZANZIBAR

Zanzibar Na HANIFA RAMADHANI ZANZIBAR ni neema tu! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi kuzindua mabasi yanayotumia umeme hatua inayolenga kupunguza uchafunzi wa mazingira na kuimarisha matumizi ya nishati safi. Dk. Mwinyi amesema uzinduzi huo ni mkakati wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar […]

KOCHA AIPA JEURI YANGA

Na NASRA KITANA SAA chache mara baada ya Rais wa Yanga Mhandisi Hersi Said, kukutana na Kocha mpya wa timu hiyo, Manqoba Mngqithi na kufanya kikao cha kwanza na benchi zima la ufundi, uongozi wa timu hiyo umesema unajivunia kumpata kwani wana imani watabeba mataji mengi msimu ujao. Julai 10, mwaka huu Yanga ilimtambulisha kocha […]

MWALIMU, GUEYE WAPO SIMBA SANA

Na NASRA KITANA UONGOZI wa klabu ya Simba, umemwongeza mkatababa wa mkopo wa mwaka mmoja mshambuliaji wake Selemani Mwalimu ambapo ataendelea kuwepo kikosini hadi mwishoni mwa msimu ujao. Pia umekanusha kumuuza staa wake Libasse Gueye na Anicet Oura, hivyo wataendelea kuwepo kikosini kwa kipindi kirefu. Mwalimu ataendelea kuwa sehemu ya kikosi hicho, baada ya Simba […]

UCHAGUZI

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

WATANZANIA 37,647,235 KUPIGA KURA LEO

Na WAANDISHI WETU TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza maandalizi yote muhimu ya Uchaguzi Mkuu wa wa Rais, Wabunge na Madiwani, yamekamilika.Jumla ya wapigakura 37,647,235, wamethibitishwa kushiriki uchaguzi huo. Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele, amesema hayo kupitia taarifa ya tume hiyo na kusisitiza, uchaguzi huo, unafanyika kwa mujibu wa masharti ya Ibara […]

KISHINDO SIKU 60 ZA DK. SAMIA

Na MUSSA YUSUPH,Mwanza SHAMRASHAMRA za maandalizi ya mkutano wa kufunga kampeni za Uchaguzi Mkuu, zimeendelea kuutikisa Mkoa wa Mwanza ambapo Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuhutubia maelfu ya wananchi, wapenzi, wanachama na wakereketwa wa CCM. Katika mkutano huo unaotarajiwa kufanyika Oktoba 28, mwaka huu, katika Uwanja wa CCM […]

DK. MWINYI AJAWA MATUMAINI KIBAO

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema wana matumaini kuwa CCM itashinda kwa kishindo katika Uchaguzi wa kesho kutwa. Dk. Mwinyi alisema hayo, katika ufungaji kampeni za Uchaguzi Mkuu wa CCM, uliofanyika viwanja vya Mnazi Mmoja, Mjini Unguja Alisema kutokana na wingi wa wanachama […]

DK. NCHIMBI AELEZA MAFANIKIO YA KAMPENI ZA CCM NCHINI

Na NJUMAI NGOTA,UKEREWEMGOMBEA Mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amefunga kampeni za Chama kwa kishindo huku akisema amezunguka takribani mikoa yote kwa mafanikio makubwa.Katika mikutano yake ya kampeni, Dk. Nchimbi, ameinadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2025–2030 na kumwombea kura za Urais, Dk. Samia Suluhu […]

Siasa

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Na MWANDISHI WETU ZIARA ya Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenan Kihongosi, mkoani Mwanza, imerejesha matumani kwa wananchi wa jiji hilo. Kihongosi ambaye amefanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Furahisha, Nyamagana mkoani humo, ametatua baadhi ya changamoto za wananchi papo kwa papo. Miongoni mwa wananchi waliotatuliwa […]

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

Na MWANDISHI WETU, Ruvuma WAPIGA Kura 127,632 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapigakura, watashiriki uchaguzi wa kuchagua mbunge wa Jimbo la Peramiho lililopo Halmashauri ya Wilaya ya Songea, Mkoa wa Ruvuma na Kata ya Shiwinga, iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Songwe. Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa […]

SIKU 100 ZA KAZI NA UTU, ZAIKOSHA CCM

Na ZIANA BAKARI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeridhishwa na mwanzo mzuri wa utekelezaji wa Ilani yake, uliofanyika katika siku 100 za Rais Samia Suluhu Hassan, huku kikiwataka Watanzania, kuaminiana na kuzungumza kwa pamoja kwa kuwa jamii inahitaji maridhiano, siyo fujo. Hayo yalibainishwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira, alipofanya mahojiano kupitia kipindi […]

TULIENI NYUMBANI

>>Ni agizo la Waziri Mkuu Dk. Mwigulu >>Simbachawene  asema maandamano ni haramu Na IRENE MWASOMOLA SERIKALI imewataka wananchi wasiokuwa na ulazima wa kutoka leo, watulie nyumbani. Agizo hilo limetolewa na Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, alipowasilisha salamu za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan za maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru, ambapo aliwatakia Watanzania kheri. Kupitia […]

KIHONGOSI ATOA MAAGIZO KWA MADIWANI 

Na ATHNATH MKIRAMWENI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka madiwani kufanya kazi zinazobeba ajenda za wananchi, zitakazotoa majawabu ya kero katika maeneo yao. Pia, CCM imesema itaendelea kusimamia vyema misingi ya uadilifu kwa watendaji wa Chama. Kauli hiyo ilitolewa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Kenani Kihongosi, jijini Dar es Salaam, alipozungumza na […]

Biashara

DEMOKRASIA ISIZICHAFUE NCHI ZETU – RAIS DK. SAMIA

Na ATHNATH MKIRAMWENI RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi wa Tanzania na Kenya, kulinda na kuheshimu demokrasia kwa kuzingatia utaratibu, sheria na misingi ya uendeshaji wa serikali, hivyo wasikubali ichafue  nchi na mila zao. Kauli hiyo aliitoa jijini Dar es Salaam jioni, alipohutubia Jukwaa la Kibiashara kati ya Tanzania na Kenya, lililofanyika katika Kituo […]

YANGA, AL AHLY MECHI YA MAAMUZI

Na NASRA KITANA WAKATI timu ya Yanga ikitarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano dhidi ya Al Ahly, uongozi wa Yanga umeweka wazi kuwa huo ni mchezo wao wa maamuzi, hivyo hawatakubali kupoteza. Yanga wanatarajiwa kushuka dimbani kesho katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL),  dhidi ya Al Ahly ya Misri, […]

TRA INAVYOIMARISHA USHIRIKIANO NA WAFANYABIASHARA KUKUZA UCHUMI

Na IRENE MWASOMOLA TANGU kuingia madarakani kwa serikali ya Awamu ya Sita, inayoongozwa na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, imesaidia kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA). Hakika kazi kubwa imefanyika ya kuongeza makusanyo ya kodi kupitia TRA, hivyo kufanikisha dhima ya serikali ya utekelezaji wa maendeleo kwa wananchi na taifa.  […]

Michezo

DK. NCHIMBI AKAGUA UWANJA WA AFCON ARUSHA

Na MWANDISHI WETU MAKAMU wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Arusha, utakaotumika katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2027 (AFCON 2027), unaojengwa Jijini Arusha. Makamu wa Rais amepongeza maendeleo ya ujenzi wa uwanja huo, ambapo amesema ni faraja kuona ahadi ya Rais Dk. […]

KOCHA AIPA JEURI YANGA

Na NASRA KITANA SAA chache mara baada ya Rais wa Yanga Mhandisi Hersi Said, kukutana na Kocha mpya wa timu hiyo, Manqoba Mngqithi na kufanya kikao cha kwanza na benchi zima la ufundi, uongozi wa timu hiyo umesema unajivunia kumpata kwani wana imani watabeba mataji mengi msimu ujao. Julai 10, mwaka huu Yanga ilimtambulisha kocha […]

MWALIMU, GUEYE WAPO SIMBA SANA

Na NASRA KITANA UONGOZI wa klabu ya Simba, umemwongeza mkatababa wa mkopo wa mwaka mmoja mshambuliaji wake Selemani Mwalimu ambapo ataendelea kuwepo kikosini hadi mwishoni mwa msimu ujao. Pia umekanusha kumuuza staa wake Libasse Gueye na Anicet Oura, hivyo wataendelea kuwepo kikosini kwa kipindi kirefu. Mwalimu ataendelea kuwa sehemu ya kikosi hicho, baada ya Simba […]

YANGA, SIMBA MSHIKE MSHIKE

Na NASRA KITANA WAKATI  Yanga ikimtambulisha Simo Dladla kuwa kocha msaidizi, klabu ya Simba imenasa saini ya mshambuliaji mzawa, Bakari Msimu kutoka klabu ya Coastal Union ya Tanga. Taarifa zilizothibitishwa na  klabu zote mbili, Dladla atafanya kazi chini ya Kocha Mkuu mpya wa timu hiyo, Manqoba Mngqithi kuhakikisha ubingwa wa Ligi Kuu Bara hauondoki mitaa […]

KUMEKUCHA ‘SIMBA DAY’ 

Na MWANDISHI WETU WAKATI Simba imetangaza panga  kwa wachezaji saba ikiwa ni sehemu ya kutaka kusuka kikosi chao kitakachoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara 2026/27, tamasha lao, limepangwa  kufanyika Agosti 8, mwaka huu. Kupitia ukurasa rasmi wa Instagram wa klabu hiyo, Simba ilichapisha ujumbe wenye neno ‘Asanteni’  ukiambatana na picha pamoja na majina ya wachezaji hao, […]

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?