• ePaper
Wednesday, March 18, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Michezo

SIRI YA AZAM FC HADHARANI

admin by admin
August 27, 2025
in Michezo
0
SIRI YA AZAM FC HADHARANI
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi siri yao ya kucheza michezo nchini Rwanda ni kocha wao,Florent Ibenge kuangalia uwezo wa kila mchezaji ndani ya kikosi chake.

Ofisa Habari na Mawasiliano wa Azam, Hashim Ibwe alisema hayo alipozungumza na baadhi ya vyombo vya habari kuwa kocha wao, amekuwa anatumia michezo hiyo kuangalia  kiwango cha wachezaji kabla ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26.

“Unajua kocha wetu ana uwezo mkubwa, tayari amefahamu udhaifu wa kikosi chetu na anaendelea kufanyia kazi katika mazoezi.

“Mechi tulizocheza zilikuwa na umuhimu mkubwa katika timu na kocha ameona mapungufu ya wachezaji anafanyia kazi ya kuboresha,” alisema.

Ofisa huyo aliongeza kwamba msimu mpya wa ligi utakuwa na ushindani mkubwa kutokana na kusajili wachezaji wazuri.

“Msimu mpya wa ligi utakuwa na ushindani mkubwa hivyo watu wategemee mambo mazuri kutoka Azam maana vitu vizuri vinakuja kutoka kwetu,” alisema.

Previous Post

MAELFU WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA MAKONDA KUCHUKUA FOMU ARUSHA

Next Post

MAELFU WAFURIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DAR

Next Post
MAELFU WAFURIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DAR

MAELFU WAFURIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DAR

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MOROCCO ATAJA KILICHOIPONZA STARS

MOROCCO ATAJA KILICHOIPONZA STARS

5 months ago
NDOTO YATIMIA

NDOTO YATIMIA

3 months ago

Popular News

  • MANDONGA AJA KIVINGINE

    MANDONGA AJA KIVINGINE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YATUMIA BILIONI 64/- KUBORESHA UWANJA WA NDEGE IRINGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU AWAWEKA MTEGONI VIGOGO WILAYA, HALMASHAURI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • ALAMA TATU KUMUENZI JPM

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI KUIFANYA TANZANIA KITOVU CHA BIASHARA – DK. YONAZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?