• ePaper
Tuesday, July 14, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Michezo

SIRI YA AZAM FC HADHARANI

admin by admin
August 27, 2025
in Michezo
0
SIRI YA AZAM FC HADHARANI
0
SHARES
16
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi siri yao ya kucheza michezo nchini Rwanda ni kocha wao,Florent Ibenge kuangalia uwezo wa kila mchezaji ndani ya kikosi chake.

Ofisa Habari na Mawasiliano wa Azam, Hashim Ibwe alisema hayo alipozungumza na baadhi ya vyombo vya habari kuwa kocha wao, amekuwa anatumia michezo hiyo kuangalia  kiwango cha wachezaji kabla ya kuanza msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2025/26.

“Unajua kocha wetu ana uwezo mkubwa, tayari amefahamu udhaifu wa kikosi chetu na anaendelea kufanyia kazi katika mazoezi.

“Mechi tulizocheza zilikuwa na umuhimu mkubwa katika timu na kocha ameona mapungufu ya wachezaji anafanyia kazi ya kuboresha,” alisema.

Ofisa huyo aliongeza kwamba msimu mpya wa ligi utakuwa na ushindani mkubwa kutokana na kusajili wachezaji wazuri.

“Msimu mpya wa ligi utakuwa na ushindani mkubwa hivyo watu wategemee mambo mazuri kutoka Azam maana vitu vizuri vinakuja kutoka kwetu,” alisema.

Previous Post

MAELFU WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA MAKONDA KUCHUKUA FOMU ARUSHA

Next Post

MAELFU WAFURIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DAR

Next Post
MAELFU WAFURIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DAR

MAELFU WAFURIKA UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM DAR

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

‘UONGOZI SIYO HOTUBA ZENYE KUKONGA NYOYO BALI MATOKEO’

‘UONGOZI SIYO HOTUBA ZENYE KUKONGA NYOYO BALI MATOKEO’

6 months ago
MTIFUANO MKALI NNE BORA LIGI KUU TANZANIA BARA

MTIFUANO MKALI NNE BORA LIGI KUU TANZANIA BARA

2 months ago

Popular News

  • CHINA YAZIDI KUSISITIZA USHIRIKIANO KWA AFRIKA

    CHINA YAZIDI KUSISITIZA USHIRIKIANO KWA AFRIKA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, SINGIDA BS MACHO ‘KAGAME CUP’

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI : TAMKO LA PAMOJA CCM NA ACT-WAZALENDO LAFUNGUA NJIA YA UTEKELEZAJI WA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • BIL.8/- KUISUKA AZAM FC

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WADAU WAMGOMEA SAMATTA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?