• ePaper
Thursday, June 18, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

MANDONGA AJA KIVINGINE

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 17, 2026
in Burudani, Habari, Kitaifa, Michezo
0
MANDONGA AJA KIVINGINE
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

BONDIA Karim Mandonga ameibuka na kusema anakuja kivingine kwa kumtandika Maximilian Clavery ‘Black Cobra’katika pambano la ‘Punch ya Mama’.

Mandonga na Clavery wanatarajiwa kupanda ulingoni katika pambano la utangulizi raundi sita, uzito wa juu litakalofanyika Sikukuu ya Idd Pili katika Uwanja wa Kinesi jijini Dar es Salaam.

Akizungumza Dar es Salaam, jana, Mandonga alisema mashabiki na wadau wake wa ngumi wafike kwa wingi na wategemee ushindi mzito kutoka kwake.

“Siogopi chochote,nipo fiti nimejipanga kuhakisha napata ushindi wa kishindo, nimpatie kipigo kikali mpinzani wangu ambacho hatoweza kusahau katika miasha yake,”alisema.

Mandonga aliwaomba wadau wa ngumi kujitokeza kwa wingi katika pambano hilo, kwani amejipanga vizuri kucheza katika kiwango kikubwa.

Maximilian Clavery ‘Black Cobra’katika naye akizungumza Dar es Salaam, jana, alisema amejipanga vizuri kuhakikisha anapata ushindi wa kishindo siku hiyo.

“Nitahakikisha napata ushindi mbele ya Mandonga, sijaona sababu ya mimi kupigwa na huyo kwa sababu nimefanya mazoezi ya kutosha ili kuvunja maneno ya mpinzani wangu.

“Siku hiyo nitaonesha mchezo mzuri maana anaongea sana huyo Mandonga, nimejipanga kucheza katika kiwango kikubwa zaidi,” alisema.

Previous Post

SERIKALI YATUMIA BILIONI 64/- KUBORESHA UWANJA WA NDEGE IRINGA

Next Post

TANZANIA ITAKAVYONUFAIKA KIUCHUMI, MKUTANO WA IPU

Next Post
TANZANIA ITAKAVYONUFAIKA KIUCHUMI, MKUTANO WA IPU

TANZANIA ITAKAVYONUFAIKA KIUCHUMI, MKUTANO WA IPU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

POLISI WAPATA SEHEMU YA KICHWA CHA JAMES TEMBA, MGANGA WA KIENYEJI MBARONI

POLISI WAPATA SEHEMU YA KICHWA CHA JAMES TEMBA, MGANGA WA KIENYEJI MBARONI

1 month ago
KUTUMIA DINI KWA AJENDA ZA KISIASA NI KUFURU – PAPA LEO

KUTUMIA DINI KWA AJENDA ZA KISIASA NI KUFURU – PAPA LEO

6 months ago

Popular News

  • WABUNGE: AMANI ISICHEZEWE

    WABUNGE: AMANI ISICHEZEWE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WABUNGE WAIPONGEZA NSSF NA PSSSF KWA KUANZISHA SKIMU YA HIFADHI KWA WALIOJIAJIRI NA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA NGOZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WABUNGE WAPONGEZA UWEKEZAJI KLICL

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAKAGUZI WA CAF WARIDHISHWA NA MAENDELEO YA VIWANJA VYA AFCON 2027

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MKAKATI KUDHIBITI VIFO WAJAWAZITO WAANIKWA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?