• ePaper
Saturday, November 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Habari

HALI YA USALAMA MKOA WA ARUSHA NI SHWARI – RC MAKALLA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 4, 2025
in Habari, Kitaifa
0
HALI YA USALAMA MKOA WA ARUSHA NI SHWARI – RC MAKALLA

MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla

0
SHARES
2
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU,

ARUSHA

MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla, amewahakikishia wananchi wa mkoa huo kuwa, hali ya ulinzi na usalama ni shwari na shughuli za kijamii na kiuchumi zimerejea katika hali ya kawaida.

Makalla ameyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.

Aidha, katika kutekeleza maelekezo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa jana, CPA Makalla amewataka wamiliki wa vituo vya mafuta kufungua vituo vyao pamoja na maeneo mengine ya biashara, huku akiwataka viongozi wa serikali za mitaa na vijiji kuendelea kutimiza jukumu lao la kuhakikisha usalama unakuwepo wa kutosha katika maeneo yao, sambamba na kutoa taarifa za uvunjifu wa sheria kwa mamlaka husika.

Katika hatua nyingine, CPA Makalla amewaagiza wakurugenzi watendaji wa halmashauri zote mkoani humo chini ya usimamizi wa Katibu Tawala wa Mkoa, kuhakikisha huduma za usafi wa mazingira zinasimamiwa kikamilifu.

Previous Post

DK. SAMIA AAPISHWA JIJINI DODOMA

Next Post

RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

Next Post
RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WANASIASA WAGUSIA USHINDI WA RAIS DK. SAMIA

WANASIASA WAGUSIA USHINDI WA RAIS DK. SAMIA

1 week ago
DK. MPANGO ATOA MAAGIZO6 MUHIMU TAASISI ZA UMMA

DK. MPANGO ATOA MAAGIZO6 MUHIMU TAASISI ZA UMMA

3 months ago

Popular News

  • YANGA, SIMBA KAZI KAZI

    YANGA, SIMBA KAZI KAZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KETE YA KWANZA KWA GAMONDI STARS LEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TRA YAHAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO USALAMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAAGIZO MATATU KWA DK. NCHEMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NI MARIDHIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.