• ePaper
Sunday, May 17, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

DK. SAMIA AAPISHWA JIJINI DODOMA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 4, 2025
in Habari, Kitaifa
0
DK. SAMIA AAPISHWA JIJINI DODOMA
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

DODOMA

MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza wake, Dk. Emmanuel Nchimbi, wameapishwa jijini Dodoma, kuanza rasmi safari ya uongozi katika kipindi cha pili cha Serikali ya Awamu ya Sita.

Hafla hiyo imehudhuriwa na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali, wageni waalikwa na wananchi kutoka maeneo mbalimbali  nchini.

Dk. Samia ameapishwa baada ya kupata ushindi mkubwa katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29 mwaka huu, ambapo alijitwalia asilimia 97.6 ya kura zote zilizopigwa, huku  akiwashinda wagombea 16 wa vyama vya upinzani.

Previous Post

RAIS DK. SAMIA ATOA MAAGIZO KWA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA NCHINI

Next Post

HALI YA USALAMA MKOA WA ARUSHA NI SHWARI – RC MAKALLA

Next Post
HALI YA USALAMA MKOA WA ARUSHA NI SHWARI – RC MAKALLA

HALI YA USALAMA MKOA WA ARUSHA NI SHWARI - RC MAKALLA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

ABDULRAZAQ HAMIS BONDIA ANAYECHUKIZWA NA WAAMUZI WANAO PENDELEA WASIO NA UWEZO

ABDULRAZAQ HAMIS BONDIA ANAYECHUKIZWA NA WAAMUZI WANAO PENDELEA WASIO NA UWEZO

6 months ago
TANZANIA YAJIPANGA KUNUFAIKA NA GESI TRILIONI 57.54, WAWEKEZAJI WAALIKWA

TANZANIA YAJIPANGA KUNUFAIKA NA GESI TRILIONI 57.54, WAWEKEZAJI WAALIKWA

2 months ago

Popular News

  • DK. MWIGULU AHIMIZA WANANCHI KUIOMBEA AMANI YA NCHI

    DK. MWIGULU AHIMIZA WANANCHI KUIOMBEA AMANI YA NCHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. KIKWETE ASHIRIKI MAZISHI YA KITAIFA YA RAIS MSTAAFU MOGAE WA BOTSWANA, AKIMWAKILISHA RAIS DK. SAMIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DANGOTE AIPONGEZA SERIKALI, AANGAZIA FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TANZANIA NI NCHI YA PILI AFRIKA KUWA NA HADHI YA  UTALII WA JIOLOJIA (GEOPARK MUSEUM)

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAIPONGEZA PUMA ENERGY KWA MFUMO MPYA WA KIDIJITALI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?