• ePaper
Sunday, July 26, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

HALI YA USALAMA MKOA WA ARUSHA NI SHWARI – RC MAKALLA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 4, 2025
in Habari, Kitaifa
0
HALI YA USALAMA MKOA WA ARUSHA NI SHWARI – RC MAKALLA

MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla

0
SHARES
11
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU,

ARUSHA

MKUU wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla, amewahakikishia wananchi wa mkoa huo kuwa, hali ya ulinzi na usalama ni shwari na shughuli za kijamii na kiuchumi zimerejea katika hali ya kawaida.

Makalla ameyasema hayo alipozungumza na waandishi wa habari ofisini kwake, baada ya kumalizika kwa Kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa.

Aidha, katika kutekeleza maelekezo ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aliyoyatoa jana, CPA Makalla amewataka wamiliki wa vituo vya mafuta kufungua vituo vyao pamoja na maeneo mengine ya biashara, huku akiwataka viongozi wa serikali za mitaa na vijiji kuendelea kutimiza jukumu lao la kuhakikisha usalama unakuwepo wa kutosha katika maeneo yao, sambamba na kutoa taarifa za uvunjifu wa sheria kwa mamlaka husika.

Katika hatua nyingine, CPA Makalla amewaagiza wakurugenzi watendaji wa halmashauri zote mkoani humo chini ya usimamizi wa Katibu Tawala wa Mkoa, kuhakikisha huduma za usafi wa mazingira zinasimamiwa kikamilifu.

Previous Post

DK. SAMIA AAPISHWA JIJINI DODOMA

Next Post

RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

Next Post
RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DAKTARI ATAJA DALILI ZA SHINIKIZO LA DAMU

DAKTARI ATAJA DALILI ZA SHINIKIZO LA DAMU

3 months ago
DK. YONAZI AIELEZA MSUMBIJI UZOEFU WA TANZANIA INAVYOKABILI UKAME

DK. YONAZI AIELEZA MSUMBIJI UZOEFU WA TANZANIA INAVYOKABILI UKAME

2 months ago

Popular News

  • KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    KATIBA MSINGI WA HAKI – DK. NCHIMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MABASI YA UMEME REKODI ZANZIBAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KOCHA AIPA JEURI YANGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWALIMU, GUEYE WAPO SIMBA SANA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI ASHTUKIA ‘USANII’ WA WACHIMBAJI MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?