• ePaper
Wednesday, October 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Habari Kitaifa

MPINA APIGWA ‘STOP’ URAIS ACT-WAZALENDO

admin by admin
August 27, 2025
in Kitaifa
0
MPINA APIGWA ‘STOP’ URAIS ACT-WAZALENDO
0
SHARES
22
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imetengua uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo.

Uamuzi huo umetokana na malalamiko yaliyowasilishwa na Katibu Mwenezi wa chama hicho, Monalisa Ndala, kuhusu uhalali wa Mpina kuwania nafasi hiyo.

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Sisty Nyahoza, amethibitisha kutenguliwa kwa Mpina na kueleza kuwa hatua hiyo inahusu uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu.

“Ni kweli tumewaandikia barua, ila tunaandaa taarifa rasmi kwa vyombo vya habari,” amesema Nyahoza akizungumza na Uhuru kwa njia ya simu.

Previous Post

VYAMA 18 Z’BAR VYASAINI FOMU KUELEKEA UCHAGUZI

Next Post

MAELFU WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA MAKONDA KUCHUKUA FOMU ARUSHA

Next Post
MAELFU  WAJITOKEZA  KUMSINDIKIZA  MAKONDA  KUCHUKUA  FOMU  ARUSHA

MAELFU WAJITOKEZA KUMSINDIKIZA MAKONDA KUCHUKUA FOMU ARUSHA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WASIRA ANYOOSHEA KIDOLE WATU WENYE CHOKOCHOKO

WASIRA ANYOOSHEA KIDOLE WATU WENYE CHOKOCHOKO

5 days ago
WANANCHI KUSINI UNGUJA WAAHIDI KUIPIGIA KURA CCM

WANANCHI KUSINI UNGUJA WAAHIDI KUIPIGIA KURA CCM

4 weeks ago

Popular News

  • SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA HOSPITALI MAALUMU YA SARATANI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.