• ePaper
Friday, April 17, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
October 13, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MUSSA YUSUPH,

Geita

MGOMBEA Ubunge wa Viti Maalumu, Jesca Magufuli, amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye ujasiri mkubwa na shupavu ambaye katika kipindi cha miaka minne ametekeleza miradi mikubwa ya kimkakati.

Jesca ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Bukombe.

Amesema licha ya kutekeleza miradi hiyo aliyorithi kutoka kwa mtangulizi wake, Hayati Dk. John Magufuli, lakini ameanzisha miradi mingine ya kimkakati.

“Wengi tunafahamu adha tuliyokuwa tukikumbana nayo pale Daraja la Kigongo – Busisi. Ametufanyia makubwa sisi wakazi wa Kanda ya Ziwa.

“Tuna kila sababu ya kumwamini kiongozi wetu, tukajitokeze kwa wingi kumpigia kura Dk. Samia ifikapo Oktoba 29 mwaka huu,” amesisitiza.

Jesca, amesema katika ilani ya uchaguzi (2025 – 2030), CCM imeahidi kutengeneza ajira zaidi ya milioni nane, kutoa mafunzo kwa vijana na kukuza teknolojia kuongeza wigo wa ajira kwa vijana.

“Samia ni mtu wa kazi, mpeni kazi, akafanye kazi,” amesisitiza.

Previous Post

MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

Next Post

SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

Next Post
SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

SERIKALI MATUMAINI KIBAO AFCON

SERIKALI MATUMAINI KIBAO AFCON

4 months ago
DK. SAMIA ASEMA UMEME WA KUTOSHA UMEPELEKWA VIJIJINI

DK. SAMIA ASEMA UMEME WA KUTOSHA UMEPELEKWA VIJIJINI

7 months ago

Popular News

  • KIGOGO CHAUMMA ‘AIPA TANO’ TUME YA JAJI CHANDE

    KIGOGO CHAUMMA ‘AIPA TANO’ TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MUYUNGI ASISITIZA WANANCHI KUFANYA BIASHARA YA KABONI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • LAZARUS CHAKWERA AMALIZA ZIARA YA SIKIU 9 NCHINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA KISHINDO SGR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?