• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
October 13, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MUSSA YUSUPH,

Geita

MGOMBEA Ubunge wa Viti Maalumu, Jesca Magufuli, amesema Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mwenye ujasiri mkubwa na shupavu ambaye katika kipindi cha miaka minne ametekeleza miradi mikubwa ya kimkakati.

Jesca ameyasema hayo katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Bukombe.

Amesema licha ya kutekeleza miradi hiyo aliyorithi kutoka kwa mtangulizi wake, Hayati Dk. John Magufuli, lakini ameanzisha miradi mingine ya kimkakati.

“Wengi tunafahamu adha tuliyokuwa tukikumbana nayo pale Daraja la Kigongo – Busisi. Ametufanyia makubwa sisi wakazi wa Kanda ya Ziwa.

“Tuna kila sababu ya kumwamini kiongozi wetu, tukajitokeze kwa wingi kumpigia kura Dk. Samia ifikapo Oktoba 29 mwaka huu,” amesisitiza.

Jesca, amesema katika ilani ya uchaguzi (2025 – 2030), CCM imeahidi kutengeneza ajira zaidi ya milioni nane, kutoa mafunzo kwa vijana na kukuza teknolojia kuongeza wigo wa ajira kwa vijana.

“Samia ni mtu wa kazi, mpeni kazi, akafanye kazi,” amesisitiza.

Previous Post

MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

Next Post

SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

Next Post
SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

TRA YAHAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO USALAMA

TRA YAHAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO USALAMA

5 months ago
DK. MWINYI : YAJAYO YANAFURAHISHA KASKAZINI UNGUJA

DK. MWINYI : YAJAYO YANAFURAHISHA KASKAZINI UNGUJA

7 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?