• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

WASIRA : TUSAHAU MCHAKATO WA UCHAGUZI, SASA TUUNGANE KUSAKA DOLA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 1, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
WASIRA : TUSAHAU MCHAKATO WA UCHAGUZI, SASA TUUNGANE KUSAKA DOLA
0
SHARES
2
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na LILIAN JOEL,

Arusha

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema kwamba kazi ya chama hicho kwa sasa ni kuisaka dola kwani mchakato wa kura za maoni zilishapita hivyo hakuna sababu ya kuwa na mgawanyiko tena.

Wsira ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na viongozi wa Chama hicho wakati wa kikao cha ndani ambapo ametumia kikao hicho kuelezea mchakato wa kura za maoni hadi kupatikana walioteuliwa kugombea ubunge na udiwani,

“Kazi yetu ni kuhakikisha mtu ashinde… kwahiyo muache kugawanyika kwasababu kura za maoni zimeshapita hivyo tugawanyike kwa ajili ya zile.

“Wewe unagombana na hewa maana kura zile zimeshapigwa, tena unagombana na mtokeo ambayo na wewe mwenyewe ulikuwepo wakati wa kuhesabu kura umeshuhudia halafu unamkasirikia nani? Unakasirikia matokeo au aliyetangaza, unamkasirikia nani?

“Hakuna hoja hapo bali kwa sasa hoja ni CCM kupata dola na hayo mengine yote tunayoyafanya yote ni mchakato wa kufikia lengo la kupata dola.Hivyo msipoteze lengo kwasababu ya mchakato wa ndani, huo ujumbe wangu wa leo,”amesem Wasira

Amefafanua uongozi huo na kazi ya kusema nani anakuwa na nani hawi ni kazi mbaya na ngumu na amewaambia kutokana na nguvu ya ubinadamu maana wao sio malaika na mpaka hapo walipofikia ni vema wakapongezwa maana kazi yenyewe ngumu.

“Nilikuwa namwambia Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha rafiki Sabaya mbona mwanao hakuteuliwa ,nami nilikuwa na mwanangu anagombea lakini hakuteuliwa na mimi ndio Makamu Mwenyekiti…

“Sasa wewe unanung’unikia nini? Ni kazi ngumu lakini nataka niwaambie walioteuliwa sio kwamba wao ni bora kuliko wasioteuliwa, sio kweli ila hili chama lina watu wengi halafu wanauwezo.Hata ukiondoa walioteuliwa ukaamua kupata wwngine tena watakuja wengi na wenye uwezo zaidi ya hawa.”

Previous Post

MBETO : HAKUNA WA KUZUIA USHINDI WA CCM ZANZIBAR 2025-2030

Next Post

DK. NCHIMBI ATANGAZA MITAA YA VIWANDA NCHINI

Next Post
DK. NCHIMBI ATANGAZA MITAA YA VIWANDA NCHINI

DK. NCHIMBI ATANGAZA MITAA YA VIWANDA NCHINI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA KUANZA MASOMO KWA MKUPUO

WANAFUNZI KIDATO CHA KWANZA KUANZA MASOMO KWA MKUPUO

4 months ago
TRA YABAINI MCHEZO MCHAFU UKWEPAJI KODI  BANDARI KAVU

TRA YABAINI MCHEZO MCHAFU UKWEPAJI KODI  BANDARI KAVU

2 months ago

Popular News

  • KIGOGO CHAUMMA ‘AIPA TANO’ TUME YA JAJI CHANDE

    KIGOGO CHAUMMA ‘AIPA TANO’ TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MUYUNGI ASISITIZA WANANCHI KUFANYA BIASHARA YA KABONI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KAMATI YA UTALII, BIASHARA NA KILIMO BARAZA LA WAWAKILISHI YADHAMIRIA MAMLAKA YA VIPIMO ZANZIBAR IFIKIE VIWANGO VYA WMA BARA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • LAZARUS CHAKWERA AMALIZA ZIARA YA SIKIU 9 NCHINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA KISHINDO SGR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?