• ePaper
Wednesday, October 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Burudani

KOCHA TAIFA STARS UHAKIKA KWA NIGER

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 7, 2025
in Burudani, Habari, Michezo
0
KOCHA TAIFA STARS UHAKIKA KWA NIGER
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

KOCHA wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Hemed Suleiman ‘Morocco’, amesema anaamini kikosi chake kitapata ushindi dhidi ya Niger keshokutwa.

Taifa Stars itachuana na Niger saa 10:00 jioni katika mchezo wa kundi E kuwania kufuzu Kombe la Dunia, utakaopigwa katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

Katika mtanange huo, Taifa Stars itaingia ikiwa nafasi ya pili kwa alama 10 baada ya kushuka dimbani mara sita sawa na kinara Morocco ambayo tayari imeshakata tiketi baada ya kuvuna pointi 18.

Akizungumza kutoka Brazaville nchini Congo ambapo kikosi chake kilitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Congo Brazavile, Kocha Morocco alisema wapinzani wake walikuwa bora.

 “Congo walitupa presha kubwa na pia hatukuwa katika kiwango kizuri. Tutajitahidi kurekebisha makosa,” alisema.

Tunahitajika kuongeza nguvu, tutakuwa na siku kadhaa za kujiandaa naamini mechi ya nyumbani tutakuwa vizuri zaidi,” alisema.

Ili Taifa Stars iendelee kusalia nafasi ya pili, inapaswa kupata matokeo mazuri katika mechi zilizobaki ikiwemo dhidi ya Niger keshokutwa.

Previous Post

DK. SAMIA AMELETA MIRADI MIKUBWA LINDI – MAJALIWA

Next Post

ARAJIGA, KAYOKO HAOO CAFCL

Next Post
ARAJIGA, KAYOKO HAOO CAFCL

ARAJIGA, KAYOKO HAOO CAFCL

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

ZANZIBAR MPYA YA DK. MWINYI YAVUTIA WANANCHI

ZANZIBAR MPYA YA DK. MWINYI YAVUTIA WANANCHI

1 month ago
DK. SAMIA ANAVYOTAFSIRI ‘KAZI NA UTU’ KWA VITENDO

DK. SAMIA ANAVYOTAFSIRI ‘KAZI NA UTU’ KWA VITENDO

4 weeks ago

Popular News

  • SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA HOSPITALI MAALUMU YA SARATANI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.