• ePaper
Saturday, November 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Biashara

LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 5, 2025
in Biashara, Habari, Kitaifa
0
LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)
0
SHARES
3
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafirishaji Ardhini (LATRA), imesema inatoa vibali kwa waendeshaji daladala katika Jiji la Dar es Salaam, wenye mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 26 na zaidi, kutoa huduma kwa Njia ya BRT( I), ambako vituo vya mwendokasi vimeharibika.

Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Habibu Suluo, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari, huku akiwataka wasafirishaji hao kujitokeza kuomba vibali kwa njia ya mfumo wao na wale watakaowahi watapewa kipaumbele.

“Hii inatokana na changamoto ya njia ya mwendokasi ambayo imejitokeza katika Mradi wa BRT I, kutoka Mbezi Luis, Kimara kuingia Posta, Muhimbili, Makumbusho, ambapo jumla ya nafasi 150 zipo kwa wasafirishaji wenye utayari,” amesema.

Amesema, vibali hivyo vinatolewa kwa miezi mitatu wakati DART ikiendelea kufanya marekebisho ya miundombinu ya barabara hiyo.

Kwa upande wa BRT II ya kutoka Gerezani kwenda Mbagala, amesema barabara hiyo haina utaratibu mpya kwani ni kituo kimoja tu cha Mbagala Zakiem kilichopata changamoto, hivyo baada ya marekebisho yake mwekezaji Mofat, ataendelea kutoa huduma kama kawaida.

Previous Post

CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI

Next Post

MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

Next Post
MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

2 months ago
SIRI YA AZAM FC HADHARANI

SIRI YA AZAM FC HADHARANI

3 months ago

Popular News

  • YANGA, SIMBA KAZI KAZI

    YANGA, SIMBA KAZI KAZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KETE YA KWANZA KWA GAMONDI STARS LEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TRA YAHAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO USALAMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAAGIZO MATATU KWA DK. NCHEMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NI MARIDHIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.