• ePaper
Sunday, September 13, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Biashara

LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 5, 2025
in Biashara, Habari, Kitaifa
0
LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafirishaji Ardhini (LATRA), imesema inatoa vibali kwa waendeshaji daladala katika Jiji la Dar es Salaam, wenye mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 26 na zaidi, kutoa huduma kwa Njia ya BRT( I), ambako vituo vya mwendokasi vimeharibika.

Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Habibu Suluo, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari, huku akiwataka wasafirishaji hao kujitokeza kuomba vibali kwa njia ya mfumo wao na wale watakaowahi watapewa kipaumbele.

“Hii inatokana na changamoto ya njia ya mwendokasi ambayo imejitokeza katika Mradi wa BRT I, kutoka Mbezi Luis, Kimara kuingia Posta, Muhimbili, Makumbusho, ambapo jumla ya nafasi 150 zipo kwa wasafirishaji wenye utayari,” amesema.

Amesema, vibali hivyo vinatolewa kwa miezi mitatu wakati DART ikiendelea kufanya marekebisho ya miundombinu ya barabara hiyo.

Kwa upande wa BRT II ya kutoka Gerezani kwenda Mbagala, amesema barabara hiyo haina utaratibu mpya kwani ni kituo kimoja tu cha Mbagala Zakiem kilichopata changamoto, hivyo baada ya marekebisho yake mwekezaji Mofat, ataendelea kutoa huduma kama kawaida.

Previous Post

CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI

Next Post

MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

Next Post
MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. MWIGULU AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA FEDHA ZA MIRADI RUKWA

DK. MWIGULU AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA FEDHA ZA MIRADI RUKWA

6 months ago
SIMBACHAWENE AHIMIZA KUDUMISHA ZAIDI AMANI

SIMBACHAWENE AHIMIZA KUDUMISHA ZAIDI AMANI

10 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?