• ePaper
Wednesday, July 29, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Biashara

LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 5, 2025
in Biashara, Habari, Kitaifa
0
LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafirishaji Ardhini (LATRA), imesema inatoa vibali kwa waendeshaji daladala katika Jiji la Dar es Salaam, wenye mabasi yenye uwezo wa kubeba abiria 26 na zaidi, kutoa huduma kwa Njia ya BRT( I), ambako vituo vya mwendokasi vimeharibika.

Wito huo umetolewa jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa LATRA, Habibu Suluo, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari, huku akiwataka wasafirishaji hao kujitokeza kuomba vibali kwa njia ya mfumo wao na wale watakaowahi watapewa kipaumbele.

“Hii inatokana na changamoto ya njia ya mwendokasi ambayo imejitokeza katika Mradi wa BRT I, kutoka Mbezi Luis, Kimara kuingia Posta, Muhimbili, Makumbusho, ambapo jumla ya nafasi 150 zipo kwa wasafirishaji wenye utayari,” amesema.

Amesema, vibali hivyo vinatolewa kwa miezi mitatu wakati DART ikiendelea kufanya marekebisho ya miundombinu ya barabara hiyo.

Kwa upande wa BRT II ya kutoka Gerezani kwenda Mbagala, amesema barabara hiyo haina utaratibu mpya kwani ni kituo kimoja tu cha Mbagala Zakiem kilichopata changamoto, hivyo baada ya marekebisho yake mwekezaji Mofat, ataendelea kutoa huduma kama kawaida.

Previous Post

CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI

Next Post

MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

Next Post
MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

MBETO : RAIS DK. SAMIA, MWINYI WAMEAPA KULINDA WATANZANIA NA AMANI YA TAIFA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WASIRA ANYOOSHEA KIDOLE WATU WENYE CHOKOCHOKO

WASIRA ANYOOSHEA KIDOLE WATU WENYE CHOKOCHOKO

10 months ago
WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

WATU 120, 780 KUMCHAGUA MBUNGE JIMBO LA PERAMIHO

5 months ago

Popular News

  • MVUTANO MAZISHI YA WAMBURA WAFIKA KORTINI, DALILI ZA MARIDHIANO ZACHOMOZA

    MVUTANO MAZISHI YA WAMBURA WAFIKA KORTINI, DALILI ZA MARIDHIANO ZACHOMOZA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA ATAJA SIFA ZA MAWASILIANO SERIKALINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • 50 BORA ‘FORM SIX’ KUSOMA AI NJE YA NCHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DHAHABU YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 1.2/- YAKAMATWA IKITOROSHWA DAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA ATAKA UADILIFU, USHIRIKIANO NA MATOKEO KWA VIONGOZI WAPYA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?