• ePaper
Sunday, September 13, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 5, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa
0
CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI
0
SHARES
41
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

KIKAO maalumu cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM (NEC), kikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, kimefanyika leo Novemba 5, 2025 jijini Dodoma.

Hiki ni kikao cha kwanza cha Kamati Kuu kufanyika tangu kukamilika kwa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025.

Katika kikao hicho, viongozi wametathmini mazingira ya kisiasa kabla, wakati na baada ya uchaguzi.

Kamati Kuu imewapongeza wananchi kwa kujitokeza kwa wingi na kuonesha imani kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kipindi cha uchaguzi.

Aidha, chama kimekemea na kulaani vikali vitendo vya uvunjifu wa amani na uharibifu wa mali uliyofanywa na baadhi ya watu.

Vilevile, CCM imeazimia kuendelea kujitathmini na kujiimarisha ili kuliongoza taifa kwa ufanisi, sambamba na kuitaka Serikali kuchukua hatua stahiki kuhakikisha nchi inabaki kuwa ya amani na utulivu.

Previous Post

MATOKEO YA DARASA LA SABA YATANGAZWA

Next Post

LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

Next Post
LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

JUKWAA LA WANAWAKE LAIBUKA  NA MAAZIMIO 10 KUHUSU AMANI

JUKWAA LA WANAWAKE LAIBUKA  NA MAAZIMIO 10 KUHUSU AMANI

9 months ago
WIZARA YA VIWANDA YAZALISHA AJIRA LUKUKI

WIZARA YA VIWANDA YAZALISHA AJIRA LUKUKI

5 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?