• ePaper
Wednesday, March 18, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

MATOKEO YA DARASA LA SABA YATANGAZWA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 5, 2025
in Habari, Kitaifa
0
MATOKEO YA DARASA LA SABA YATANGAZWA
0
SHARES
32
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na ATHNATH MKIRAMWENI

JUMLA ya watahiniwa 937,581 sawa na asilimia 81.80 ya watahiniwa 1,146,164 katika matokeo ya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi mwaka 2025, wamefaulu kwa kupata daraja A, B na C.

Akitangaza matokeo hayo jijini Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA), Profesa Said Mohamed, amesema mwaka 2024 watahiniwa waliofaulu walikuwa asilimia 80.87.

“Ufaulu umeongezeka kwa asilimia 0.93. Kati ya watahiniwa 937,581 waliofaulu, wavulana ni 429,104 sawa na asilimia 82.51 na wasichana ni 508,477, sawa na asilimia 81.21.

“Mwaka 2024 wasichana waliofaulu walikuwa asilimia 80.05 na wavulana waliofaulu walikuwa asilimia 81.85. Hivyo, ufaulu wa wasichana umeongezeka kwa asilimia 1.16 na ufaulu wa wavulana umeongezeka kwa asilimia 0.66,”amesema.

Kuhusu ubora wa ufaulu, watahiniwa 422,923 sawa na asilimia 36.90, wamepata daraja ya A na B, ikiwa ni ongezeko la asilimia 1.07 ikilinganishwa na mwaka 2024.

Previous Post

DK. SAMIA AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM

Next Post

CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI

Next Post
CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI

CCM YAWAPONGEZA WANANCHI, YALAANI VITENDO VYA UVUNJIFU WA AMANI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. SAMIA AACHA GUMZO SONGEA AKIAHIDI NEEMA TELE

DK. SAMIA AACHA GUMZO SONGEA AKIAHIDI NEEMA TELE

6 months ago
OUNAHI TEGEMEO MOROCCO AFCON 2025

OUNAHI TEGEMEO MOROCCO AFCON 2025

3 months ago

Popular News

  • MANDONGA AJA KIVINGINE

    MANDONGA AJA KIVINGINE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YATUMIA BILIONI 64/- KUBORESHA UWANJA WA NDEGE IRINGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU AWAWEKA MTEGONI VIGOGO WILAYA, HALMASHAURI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • ALAMA TATU KUMUENZI JPM

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI KUIFANYA TANZANIA KITOVU CHA BIASHARA – DK. YONAZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?