• ePaper
Sunday, September 13, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

KIWANGO SIMBA CHAMKERA BARKER

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 7, 2026
in Burudani, Kitaifa, Michezo
0
KIWANGO SIMBA CHAMKERA BARKER
0
SHARES
13
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

LICHA ya kutinga nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi, Kocha wa Simba, Steven Barker, hajaridhishwa na kiwango kilichoonyesha na timu yake dhidi ya Fufuni juzi.

Simba ilitinga nusu fainali ya michuano hiyo baada ya juzi kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Fufuni katika Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

Kocha huyo raia wa Afrika Kusini, alisema bado ana kazi kubwa ya kukinoa kikosi hicho, kuhakikisha kinakuwa bora kwa kucheza soka la kuvutia katika kila mechi.

“Tumeshinda lakini sijaridhishwa jinsi wachezaji wangu wanavyocheza, bado nina kazi kubwa ya kufanya kuhakikisha tunakuwa na kikosi bora chenye ushindani, ninachohitaji ni kuona tunashinda katika kila mchezo,” alisema.

Wekundu hao wa Msimbazi kesho watashuka dimbani kuchuana na Azam FC katika nusu fainali ya michuano hiyo.

Previous Post

BILIONI 1/- KUWAPANDISHA ULINGONI MWAKINYO, KIDUKU

Next Post

TAIFA STARS AFCON 2027 INAWEZEKANA

Next Post
TAIFA STARS AFCON 2027 INAWEZEKANA

TAIFA STARS AFCON 2027 INAWEZEKANA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua kwa asilimia 6.8

1 year ago
‘UONGOZI SIYO HOTUBA ZENYE KUKONGA NYOYO BALI MATOKEO’

‘UONGOZI SIYO HOTUBA ZENYE KUKONGA NYOYO BALI MATOKEO’

8 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?