• ePaper
Wednesday, September 9, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

CCM IMEJIPANGA KUFANYA KAMPENI ZA KISTAARABU – BALOZI DK. MIGIRO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
August 29, 2025
in Habari, Uchaguzi
0
KATIBUBMkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), BalozibDk. Asha-Rose Migiro
0
SHARES
15
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

NA MUSSA YUSUPH,

Morogoro

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Asha-Rose Migiro, amewahakikishia Watanzania kuwa chama hicho kimejipanga kufanya kampeni za kistaarabu kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

“Mwenyekiti wa CCM na mgombea urais wetu alitupa maelekezo kuwa chama chetu kiwe mfano wa uendeshaji bora na wa kistaarabu katika kampeni hizi.

Napenda kuwahakikishia kwamba CCM tumejipanga kikamilifu kufanya kampeni za kistaarabu,” amesema Dk. Migiro.

Kwa upande wake, mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Kusini, Zuberi Mfaume, aliishukuru serikali kwa kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), shule ya sekondari ya wasichana na kuboresha mawasiliano, hali iliyosaidia wananchi kuachana na tabia ya kupanda miti kutafuta mtandao wa simu.

Naye mgombea udiwani wa Kata ya Ngerengere, Kibena Nasoro, alishukuru serikali kwa miradi ya maendeleo iliyotekelezwa, huku akiomba baada ya uchaguzi serikali itoe fedha kwa ajili ya ujenzi wa kituo kikubwa cha afya kitakachokidhi mahitaji ya sasa. Ombi hilo lilikubaliwa na mgombea urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, ambaye alisema amelipokea.

Previous Post

DK. SAMIA AAHIDI NEEMA MPYA KWA WAKULIMA

Next Post

MOROGORO YA DK. SAMIA

Next Post
MOROGORO YA DK. SAMIA

MOROGORO YA DK. SAMIA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

NHIF YATOA FARAJA KWA WAFUNGWA GEREZA LA ISANGA, DODOMA

NHIF YATOA FARAJA KWA WAFUNGWA GEREZA LA ISANGA, DODOMA

6 months ago
ALIYEOA MWANAFUNZI KWA MAHARI MILIONI 4/- ADAKWA

ALIYEOA MWANAFUNZI KWA MAHARI MILIONI 4/- ADAKWA

1 month ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MASAUNI AANIKA UMAHIRI WA TANZANIA INAVYOLINDA UDONGO, MATUMIZI MBOLEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?