• ePaper
Wednesday, October 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Biashara

SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FUSRA AFCON

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 3, 2025
in Biashara, Burudani, Habari, Michezo
0
SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FUSRA AFCON
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

SERIKALI imewataka Watanzania kujipanga na kuchangamkia fursa katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027).

Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda.

Akizungumza Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo wa Taifa (BMT), Neema Msitha amesema Watanzania wanatakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali kuhakikisha wananufaika na fainali hizo.

“Mashindano ya Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), tuliona Watanzania mbalimbali walivyonufaika nayo kwa kujiongezea kipato kupitia biashara zao.

“Tunaomba Watanzania wajipange kuhakikisha wanachangamkia fura zitakazojitokeza katika michuano ya AFCON 2027, kwani kuna fursa mbambali ambazo wakizitumia vizuri zitawasaidia kujiongezea kipato,” amesema.

Katibu huyo alisema Watanzania wanatakiwa kuhakikisha wanatumia vizuri fursa za mashindano ya AFCON kwani kutakuwa na wageni wengi ambao watakuja nchini.

“Usishangae uwanjani wakajaa wageni kuliko wenyeji kutokana na ukubwa wa mashindano hayo na watu ambao watakuwa wanakuja kusindikiza timu zao, kujifunza na kufuatilia michuano.

“Watanzania wasione mashindano ya AFCON 2027 yapo mbali, hivyo waanze maandalizi ya mapema kuhakikisha wanafikia malengo waliyojiwekea,” amesema.

Katibu huyo alitoa shukrani kwa Watanzania ambao waliojitokeza kwa wingi katika michuano ya CHAN 2024 na kuipa sapoti yakutosha Taifa Stars ambayo ilitolewa hatua ya robo fainali.

Previous Post

DK. MWINYI: SITAKI KUACHA DENI

Next Post

FADLU AWAONGEZEA ‘DOZI’ MASTAA WAKE

Next Post
FADLU AWAONGEZEA ‘DOZI’ MASTAA WAKE

FADLU AWAONGEZEA ‘DOZI’ MASTAA WAKE

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

TANZANIA IPO SALAMA MIKONONI MWA CCM – PETER MSIGWA  

TANZANIA IPO SALAMA MIKONONI MWA CCM – PETER MSIGWA  

2 months ago

Uchumi wa Tanzania unaendelea kukua kwa asilimia 6.8

2 months ago

Popular News

  • SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA HOSPITALI MAALUMU YA SARATANI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.