• ePaper
Saturday, November 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Habari

RAIS DK. SAMIA ATANGAZA OKT. 29 SIKU YA MAPUMZIKO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
October 25, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
RAIS DK. SAMIA ATANGAZA OKT. 29 SIKU YA MAPUMZIKO

RAIS DK. SAMIA

0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa, Oktoba 29, mwaka huu kuwa siku ya mapumziko,  kuwawezesha Watanzania wote kutumia haki yao ya kikatiba ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, uamuzi huo, unafuatia tangazo la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), lililobainisha kuwa, siku hiyo, itatumika kupiga kura za kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Taarifa hiyo, ilieleza kuwa, Rais Dk. Samia, ametumia mamlaka aliyopewa chini ya Sheria ya Sikukuu za Kitaifa, Sura ya 35, kuidhinisha siku hiyo kuwa ya mapumziko kwa nchi nzima, wakiwemo watumishi wa umma na wafanyakazi wa sekta binafsi.

Hatua hiyo, inalenga kuhakikisha wananchi wenye sifa za kupiga kura, wanashiriki kikamilifu mchakato wa kidemokrasia bila vikwazo vya kikazi au shughuli nyingine za kila siku.

Serikali ilitoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kwa wingi katika vituo vyao vya kupigia kura na kusisitiza umuhimu wa kudumisha amani, utulivu na heshima kwa misingi ya demokrasia katika mchakato huo.

Previous Post

ICHAGUENI CCM  – DK. MWINYI

Next Post

CCM INAHESHIMU HAKI ZA BINADAMU – WASIRA

Next Post
CCM INAHESHIMU HAKI ZA BINADAMU – WASIRA

CCM INAHESHIMU HAKI ZA BINADAMU - WASIRA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. SAMIA AVUNJA NGOME YA UPINZANI MKOANI LINDI

DK. SAMIA AVUNJA NGOME YA UPINZANI MKOANI LINDI

2 months ago
DK. SAMIA AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM

DK. SAMIA AONGOZA KIKAO MAALUMU CHA KAMATI KUU YA CCM

1 week ago

Popular News

  • YANGA, SIMBA KAZI KAZI

    YANGA, SIMBA KAZI KAZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KETE YA KWANZA KWA GAMONDI STARS LEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TRA YAHAWAHAKIKISHIA WAFANYABIASHARA WA KARIAKOO USALAMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAAGIZO MATATU KWA DK. NCHEMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NI MARIDHIANO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.