• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

RAIS DK. SAMIA ATANGAZA OKT. 29 SIKU YA MAPUMZIKO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
October 25, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
RAIS DK. SAMIA ATANGAZA OKT. 29 SIKU YA MAPUMZIKO

RAIS DK. SAMIA

0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa, Oktoba 29, mwaka huu kuwa siku ya mapumziko,  kuwawezesha Watanzania wote kutumia haki yao ya kikatiba ya kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, uamuzi huo, unafuatia tangazo la Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), lililobainisha kuwa, siku hiyo, itatumika kupiga kura za kumchagua Rais, Wabunge na Madiwani.

Taarifa hiyo, ilieleza kuwa, Rais Dk. Samia, ametumia mamlaka aliyopewa chini ya Sheria ya Sikukuu za Kitaifa, Sura ya 35, kuidhinisha siku hiyo kuwa ya mapumziko kwa nchi nzima, wakiwemo watumishi wa umma na wafanyakazi wa sekta binafsi.

Hatua hiyo, inalenga kuhakikisha wananchi wenye sifa za kupiga kura, wanashiriki kikamilifu mchakato wa kidemokrasia bila vikwazo vya kikazi au shughuli nyingine za kila siku.

Serikali ilitoa wito kwa wananchi wote kujitokeza kwa wingi katika vituo vyao vya kupigia kura na kusisitiza umuhimu wa kudumisha amani, utulivu na heshima kwa misingi ya demokrasia katika mchakato huo.

Previous Post

ICHAGUENI CCM  – DK. MWINYI

Next Post

CCM INAHESHIMU HAKI ZA BINADAMU – WASIRA

Next Post
CCM INAHESHIMU HAKI ZA BINADAMU – WASIRA

CCM INAHESHIMU HAKI ZA BINADAMU - WASIRA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

YANGA, AZAM FC FAINALI YA KIBABE

YANGA, AZAM FC FAINALI YA KIBABE

3 months ago
DIARRA, LOEMBA, OURA WALIVYOTIKISA DABI YA K’KOO

DIARRA, LOEMBA, OURA WALIVYOTIKISA DABI YA K’KOO

1 month ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?