• ePaper
Sunday, May 10, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

MANNY PACQUIAO KUTUA BONGO NA MAMBO MAWILI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 14, 2026
in Burudani, Kimataifa, Kitaifa, Michezo
0
MANNY PACQUIAO KUTUA BONGO NA MAMBO MAWILI
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

BINGWA wa zamani wa ngumi za kulipwa duniani, Manny Pacquiao kutoka Ufilipino, anatarajiwa kuja nchini kuhamasisha mchezo wa masumbwi na kushiriki shughuli za kijamii.

Hayo yamesemwa jijini Dar es Salaam na Rais wa BFT, Lukelo Wililo ambaye pia aliweka wazi kwamba mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 47, atawasili kati ya Machi au Aprili mwaka huu.

Wililo alisema shirikisho hilo linafanya mawasiliano ya karibu na bondia huyo kuhakikisha anakuja katika muda uliopangwa.

Rais huyo alisema ujio wa Mfilipino huyo utakuwa fursa kubwa kwa mabondia nchini hasa katika kuwaongezea ujuzi wa mchezo huo.

“Ujio wa  Pacquiao utaongeza chachu na hamasa ya mchezo wa ngumi hapa nchini, nina imani kuja kwake kutaongeza nguvu kwa mabondia kuwa na bidii zaidi katika mazoezi wapate mafanikio,” alisema.

“Watanzania na wadau wa ngumi wategemee ujio wa bondia huyo mashuhuri, nina imani itakuwa fursa nzuri kwa mabondia kupata elimu na kuongeza maarifa katika mchezo wao,” alisema.

Pacquiao maarufu PacMan ambaye anasifika kwa kurusha masumbwi yenye kasi kubwa, amepigana mapambano 73, akishinda 62, sare nane na kupigwa matatu.

Mkongwe huyo amewahi kushinda mikanda mbalimbali ya dunia katika uzito tofauti ikiwemo mikanda ya WBO,WBC na IBF.

Previous Post

‘BODA BODA KWANGU NI ZAIDI YA KAZI INAYONIWEKA MJINI’

Next Post

TAJI LAONGEZA MZUKA YANGA

Next Post
TAJI LAONGEZA MZUKA YANGA

TAJI LAONGEZA MZUKA YANGA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

KOCHA TUNISIA AKIRI UPINZANI AFCON

KOCHA TUNISIA AKIRI UPINZANI AFCON

4 months ago
MKATABA WA GAMONDI WAWAIBUA MKWASA, PAWASA 

MKATABA WA GAMONDI WAWAIBUA MKWASA, PAWASA 

3 months ago

Popular News

  • MTIHANI MZITO KWA MOALIN

    MTIHANI MZITO KWA MOALIN

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU ATAJA MWAROBAINI MAFURIKO DARAJA LA DUMILA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA ATIA NENO BEI MAFUTA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • YANGA MBELE KWA MBELE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WATAALAMU WAFUNGUKA MITAZAMO YA MIKATABA 8

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?