• ePaper
Saturday, May 2, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

DK. SAMIA KUUNGURUMA MOROGORO

admin by admin
August 29, 2025
in Habari, Kitaifa, Uchaguzi
0
DK. SAMIA KUUNGURUMA MOROGORO
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

MGOMBEA Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuunguruma leo, katika Mkoa wa Morogoro.

Dk. Samia atafanya mkutano wake wa kwanza eneo la Ngerengere, kisha fungakazi itakuwa katika Viwanja vya Jamhuri ambako atahutubia maelfu ya wananchi katika mji huo.

Jana, CCM ilizindua kampeni zake za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, mwaka huu.

Mkutano huo wa kampeni ulifanyika katika viwanja vya Tanganyika Packers Kawe, jijini Dar es Salaam.

Previous Post

DIAMOND, HARMONIZE, MISO MISONDO WATIKISA UZINDUZI KAMPENI CCM

Next Post

CCM YAAHIDI UJEZI WA VITUO VITANO VYA AFYA, ZAHANATI20 WILAYA YA KWIMBA

Next Post
CCM YAAHIDI UJEZI WA VITUO VITANO VYA AFYA, ZAHANATI20 WILAYA YA KWIMBA

CCM YAAHIDI UJEZI WA VITUO VITANO VYA AFYA, ZAHANATI20 WILAYA YA KWIMBA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

CARRICK KOCHA MPYA MAN UNITED

CARRICK KOCHA MPYA MAN UNITED

4 months ago
DIARRA MTEGONI TUZO KIPA BORA

DIARRA MTEGONI TUZO KIPA BORA

1 month ago

Popular News

  • TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • VYALENGA KUIJENGA JAMII KIUCHUMI NA KIROHO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KUVUMILIANA MUHIMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI SANGU ABAINISHA HIFADHI SKIMU INAVYOENDA KUBADILI MAISHA YA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUCTA: WAAJILI WATEKELEZE NYONGEZA YA KIMA CHA MISHAHARA SEKTA BINAFSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?