• ePaper
Monday, January 19, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

YANGA YARIDHISHWA UUZAJI WA JEZI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 6, 2025
in Burudani, Habari, Michezo
0
YANGA YARIDHISHWA UUZAJI WA JEZI
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeridhishwa na matokeo ya uzaji wa jezi zao kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaoanza hivi karibuni.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Ofisa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Ali Kamwe alipotembelea duka la Goba Sports Wear amesema mapokezi yamekuwa makubwa kwa wanachama kununua jezi tangu zilipozinduliwa.

Amesema kwa mwaka huu jezi hizo zimenunuliwa kwa kiwango kikubwa tofauti na miaka ya nyuma.

“Tunaweza kusema tumefanikiwa kwa kiwango kikubwa katika uzaji wa jezi msimu huu, mwitikio umekuwa wa kipekee wala hatukutegemea.

“Katika siku za nyuma hali haijawahi kuwa hivi kabisa, lakini tumevunja rekodi ambayo inatupa nguvu ya kuongeza ubora katika jezi zetu,” alisema Kamwe.

Kamwe alisema hivi sasa kuna maduka mengi ya uuzaji jezi hivyo ameamua kufanya ziara ili kutambua changamoto wanazopata wauzaji hao.

“Nimekuja Goba Sports Wear kuangalia namna uuzaji wa jezi unavyokwenda na kutambua changamoto zinazowakuta wenye maduka,” amesema.

Kamwe amewataka wanachama wa Yanga kununua tiketi mapema kwa ajili ya kwenda kupata burudani katika Wiki ya Wananchi.

Previous Post

JESCA MAGUFULI AWATAKA SHINYANGA KUIAMINI CCM

Next Post

DK. SAMIA AKOSHWA NA MAELFU YA WANANCHI WALIOJITOKEZA UWANJA WA SAMORA

Next Post
DK. SAMIA AKOSHWA NA MAELFU YA WANANCHI WALIOJITOKEZA UWANJA WA SAMORA

DK. SAMIA AKOSHWA NA MAELFU YA WANANCHI WALIOJITOKEZA UWANJA WA SAMORA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

KIBADENI, MANARA, MAYAY WAFUNGUKA MANUFAA YA AMANI

KIBADENI, MANARA, MAYAY WAFUNGUKA MANUFAA YA AMANI

1 week ago
CCM YAELEZA KUONGEZEKA MBOLEA YA RUZUKU

CCM YAELEZA KUONGEZEKA MBOLEA YA RUZUKU

4 months ago

Popular News

  • KOFANE ALIVYOANDIKA HISTORIA CAMEROON AFCON MSIMU HUU

    KOFANE ALIVYOANDIKA HISTORIA CAMEROON AFCON MSIMU HUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MIGIRO KATIBU MKUU WA  KWANZA MWANAMKE NA MIKAKATI YA KUIMARISHA MASHINA KATIKA MITAA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SAFARI KUMALIZA CHANGAMOTO UMEME IRINGA, DODOMA YAIVA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TANZANIA YAINGIA 10 BORA KUVUTIA UWEKEZAJI AFRIKA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AMREJESHA MAKONDA AFCON

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?