• ePaper
Wednesday, October 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Habari

MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
October 13, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MUSSA YUSUPH,

Geita

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Asha- Rose Migiro, amesisitiza kuwa, mafanikio ya Watanzania, hayapo katika maneno bali ni matendo.

Dk. Migiro, aliyasema hayo katika mkutano wa kampeni, uliohutubiwa na Mgombea Urais kupitia CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, uliofanyika viwanja vya Shule ya Msingi Bukombe.

Alieleza kuwa, kwa kipindi kirefu, wananchi wa Bukombe wameshuhudia utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika afya, elimu na miundombinu, hatua inayothibitisha CCM ikiahidi inatekeleza.

Alisema Dk. Samia, amefungua fursa kwa vijana na kuleta mageuzi ya kiuchumi, kupitia uwekezaji na ujenzi wa miradi ya kimkakati.

“Amefanya kazi kuhakikisha maendeleo hayapo mijini pekee, bali hata vijijini. Kwa kutambua nguvu kubwa zaidi, inapaswa kuelekezwa vijijini ndipo nguvu kazi kubwa ya wananchi wanaishi.

“Hapo ndipo lengo kuu la Dk. Samia, kuelekeza nguvu kubwa mahali ambako Watanzania wengi, wanapatikana na huo ndiyo utu.

“Tuna kila sababu kusema Oktoba 29 hakuna mbadala ni Samia,” alieleza

Previous Post

DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

Next Post

JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

Next Post
JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

YANGA YARIDHISHWA UUZAJI WA JEZI

YANGA YARIDHISHWA UUZAJI WA JEZI

1 month ago
DK. SAMIA AAHIDI MAGEUZI MAKUBWA YA KILIMO

DK. SAMIA AAHIDI MAGEUZI MAKUBWA YA KILIMO

1 month ago

Popular News

  • SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA HOSPITALI MAALUMU YA SARATANI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.