• ePaper
Sunday, March 15, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

VIJUE VIGOGO SABA VITAKAVYOTIKISA AFCON NA KOMBE LA DUNIA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 29, 2025
in Burudani, Kimataifa, Michezo
0
VIJUE VIGOGO SABA VITAKAVYOTIKISA AFCON NA KOMBE LA DUNIA
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RABAT, Morocco

WAKATI michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), ikitarajiwa kuanza kesho nchini Morocco, timu saba zinaingia michuano hiyo zikiwa na rekodi tofauti.

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari imeeleza kwamba timu hizo zinashiriki AFCON na baadaye  baadhi yake  zitashiriki fainali za Kombe la Dunia.

Mataifa saba kati ya tisa ya Afrika ambayo tayari yamefuzu kucheza Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika mwakani, yatashiriki AFCON 2025 huko Morocco na kuongeza ushindani katika michuano hiyo.

Mataifa hayo ni Morocco, Misri, Tunisia, Algeria, Afrika Kusini, Senegal na Ivory Coast ambayo yametajwa kuwa na ushindani mkubwa kuwania taji hilo.

Katika fainali hizo za AFCON 2025 timu za Ghana na Cape Verde zinakosa michuano hiyo Afrika ingawa zimefuzu kushiriki Kombe la Dunia hapo mwakani.

Hata hivyo, baadhi ya timu nyingine ambazo zinaweza kuleta upinzani katika AFCON ni Cameroon na Nigeria ambazo zimeshindwa kufuzu kushiriki Kombe la Dunia 2026.

Katika michuano ya Kombe la Dunia, mara nyingi michezo ya Kombe la Mataifa ya Afrika imekuwa ikitumika kama kiashirio cha maanfalizi kwa timu za Afrika kushiriki fainali za Kombe la Dunia.

Timu hizo tisa  kutoka Bara la Afrika, zitakuwa zinajipanga kuhakikisha mwakani zinapepeperusha vyema bendera za nchi zao katika Kombe la Dunia, michuano itakayopigwa nchi za Marekani, Canada na Mexico.

Previous Post

SEKTA YA VIWANDA MHIMILI UJENZI WA UCHUMI WA KATI

Next Post

MCHAKATO WA MABADILIKO SIMBA MBIONI KUKAMILIKA

Next Post
MCHAKATO WA MABADILIKO SIMBA MBIONI KUKAMILIKA

MCHAKATO WA MABADILIKO SIMBA MBIONI KUKAMILIKA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. MWIGULU APIGA MARUFUKU WANAFUNZI KUBEBA VIDUMU

DK. MWIGULU APIGA MARUFUKU WANAFUNZI KUBEBA VIDUMU

3 weeks ago
BARAZA LA MAWAZIRI

BARAZA LA MAWAZIRI

4 months ago

Popular News

  • DK. MWIGULU AKERWA MICHANGO SHULENI

    DK. MWIGULU AKERWA MICHANGO SHULENI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA AWALILIA WATUMISHI WALIOFARIKI AJALI YA BOTI KIGOMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WATANZANIA SABA WAWASILI NCHINI KUTOKEA IRAN

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • IBENGE FURAHA TELE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?