• ePaper
Sunday, September 13, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

IBENGE FURAHA TELE

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 13, 2026
in Burudani, Habari, Kitaifa, Michezo
0
IBENGE FURAHA TELE
0
SHARES
9
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

BAADA ya ushindi wa mabao 3-0, Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge amesema amefurahishwa na kiwango kizuri walichokionesha wachezaji wake katika mechi dhidi ya Dodoma Jiji.

Azam ilipata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dodoma Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, uliofanyika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.

Akizungumza baada ya kumaliza mchezo huo, kocha huyo alisema kufuatia kupata sare michezo miwili alikaa na kuzungumza na wachezaji na kuwahamasisha kupambana kuhakikisha timu inafanya vizuri.

Alisema katika mchezo huo, kila mchezaji alipambana na kutimiza majukumu yake uwanjani ndiyo maada waliibuka na ushindi.

“Ninafurahi kwa sababu wachezaji wangu wamecheza vizuri baada ya kutoka sare michezo miwili, niliongea nao jinsi ya kupambana ili kupata ushindi na kuondoka na pointi tatu muhimu katika mchezo wetu.

“Ninashukuru kuona wachezaji walipambana na kupata pointi tatu ikiwemo kuonesha kiwango kizuri tofauti na mechi zingine ambazo tulicheza,pia ninataka kushinda haijalishi iwe nyumbani au ugenini,” alisema Ibenge.

Kocha huyo alisema mbali ya kupata ushindi wa mabao 3-0, lakini mchezo haukuwa rahisi tofauti na tulivyotarajia.

“Licha ya kupata ushindi, lakini mchezo ulikuwa mgumu ninashukuru wachezaji walipambana hadi kupata matokeo ambayo yametupa pointi tatu, muhimu, hivi sasa tunakwenda kujipanga na michezo mingine ijayo,” alisema Ibenge.

Katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam imefikisha pointi 27 ikiwa nafasi ya tatu baada baada ya kucheza mechi 13 hadi hivi sasa.

Previous Post

SERIKALI KUWABEBA WASANII, WANAHABARI

Next Post

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Next Post
ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

ZIARA YA KIHONGOSI MWANZA YAREJESHA MATUMAINI KWA WANANCHI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

KIDATO CHA PILI KUANZA MITIHANI NOVEMBA 10

KIDATO CHA PILI KUANZA MITIHANI NOVEMBA 10

10 months ago
BODABODA WAKINGIWA KIFUA

BODABODA WAKINGIWA KIFUA

3 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    RAIS DK. SAMIA NI KIONGOZI WA MATOKEO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?