• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

HAPATOSHI ‘KNOCKOUT YA MAMA’ KIJITONYAMA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 31, 2025
in Burudani, Kitaifa, Michezo
0
HAPATOSHI ‘KNOCKOUT YA MAMA’ KIJITONYAMA
0
SHARES
6
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

BONDIA wa ngumi za kulipwa, Mtanzania Frank Shagembe, leo atapanda ulingoni kuzichapa na Mghana Haruna Osumanu katika pambano la mkanda wa WBO Afrika uzito wa juu mwepesi.

Pambano hilo la raundi 10 litafanyika katika viwanja vya Posta vilivyopo Kijitonyama, Dar es Salaam.

Kabla ya pambano hilo, mabondia mbalimbali Watanzania watapanda ulingoni kuzichapa na wanamasumbwi kutoka ndani na nje ya nchi.

Akizungumza Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Kampuni ya Mafia Boxing Promotions ambayo ndiyo mwandaaji wa mtanange huo, Ally Zayumba, alisema maandalizi yamekamilika na kila bondia amejipanga kuonyesha kiwango kikubwa.

“Kutakuwa na mapambano 14 ndani yake, kutakuwa na mikanda saba ambayo itapiganiwa na mabondia kutoka Tanzania na wapinzani wao kutoka nje ya nchi, nina imani kutakuwa na mambo mazuri.

“Pambano kuu atacheza Frank Shagembe dhidi ya Osumanu kutoka Ghana ambao watagombania mkanda wa WBO Afrika,” alisema.

Zayumba pia alisema Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBRC), itatumia jukwaa hilo kutambulisha mikanda mipya ya ubingwa wa taifa katika masumbwi ya kulipwa.

Bondia Shagembe alisema amejiandaa vyema kuonyesha kiasi gani anahitaji kuweka historia katika masumbwi nchini licha ya mpinzani wake kuwa na rekodi nzuri.

“Ninapanda ulingoni kuzichapa na bondia mahiri mwenye rekodi kubwa, nitahakikisha mkanda wa ubingwa wa WBO Afrika unabaki nyumbani kwani nimejipanga kushinda,” alisema.

Previous Post

UNDANI WA REKODI YA MSUVA AFCON

Next Post

KISA MABAO 1,000, RONALDO AGOMA KUTUNDIKA DARUGA

Next Post
KISA MABAO 1,000, RONALDO AGOMA KUTUNDIKA DARUGA

KISA MABAO 1,000, RONALDO AGOMA KUTUNDIKA DARUGA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

RAIS DK. SAMIA APOKELEWA NA WATUMISHI IKULU

5 months ago
JASHO LIMEMWAGIKA

JASHO LIMEMWAGIKA

3 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?