• ePaper
Wednesday, October 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Burudani

YANGA YARIDHISHWA UUZAJI WA JEZI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 6, 2025
in Burudani, Habari, Michezo
0
YANGA YARIDHISHWA UUZAJI WA JEZI
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

UONGOZI wa klabu ya Yanga umeridhishwa na matokeo ya uzaji wa jezi zao kuelekea msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, utakaoanza hivi karibuni.

Akizungumza jijini Dar es Salaam, Ofisa Habari na Mawasiliano wa klabu hiyo, Ali Kamwe alipotembelea duka la Goba Sports Wear amesema mapokezi yamekuwa makubwa kwa wanachama kununua jezi tangu zilipozinduliwa.

Amesema kwa mwaka huu jezi hizo zimenunuliwa kwa kiwango kikubwa tofauti na miaka ya nyuma.

“Tunaweza kusema tumefanikiwa kwa kiwango kikubwa katika uzaji wa jezi msimu huu, mwitikio umekuwa wa kipekee wala hatukutegemea.

“Katika siku za nyuma hali haijawahi kuwa hivi kabisa, lakini tumevunja rekodi ambayo inatupa nguvu ya kuongeza ubora katika jezi zetu,” alisema Kamwe.

Kamwe alisema hivi sasa kuna maduka mengi ya uuzaji jezi hivyo ameamua kufanya ziara ili kutambua changamoto wanazopata wauzaji hao.

“Nimekuja Goba Sports Wear kuangalia namna uuzaji wa jezi unavyokwenda na kutambua changamoto zinazowakuta wenye maduka,” amesema.

Kamwe amewataka wanachama wa Yanga kununua tiketi mapema kwa ajili ya kwenda kupata burudani katika Wiki ya Wananchi.

Previous Post

JESCA MAGUFULI AWATAKA SHINYANGA KUIAMINI CCM

Next Post

DK. SAMIA AKOSHWA NA MAELFU YA WANANCHI WALIOJITOKEZA UWANJA WA SAMORA

Next Post
DK. SAMIA AKOSHWA NA MAELFU YA WANANCHI WALIOJITOKEZA UWANJA WA SAMORA

DK. SAMIA AKOSHWA NA MAELFU YA WANANCHI WALIOJITOKEZA UWANJA WA SAMORA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MAELFU WAMSUBIRI DK. SAMIA MWANZA

MAELFU WAMSUBIRI DK. SAMIA MWANZA

1 week ago
TAIFA STARS, ZAMBIA NI MECHI YA HESHIMA

TAIFA STARS, ZAMBIA NI MECHI YA HESHIMA

1 week ago

Popular News

  • SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA HOSPITALI MAALUMU YA SARATANI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.