• ePaper
Wednesday, October 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Biashara

MAJALIWA : MRADI GESI YA LNG KUIKOMBOA LINDI KIUCHUMI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 27, 2025
in Biashara, Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
MAJALIWA : MRADI GESI YA LNG KUIKOMBOA LINDI KIUCHUMI
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na Mussa Yusuph,

Lindi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema utekelezaji wa mradi wa gesi ya LNG unaotarajiwa kufanyika mkoani Lindi ni ukombozi wa kiuchumi katika mkoa huo na Taifa.

Kutokana na hilo, Majaliwa ametoa wito kwa wananchi mkoani Lindi kumpigia kura Mgombea Urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan akamilishe taratibu zilizobaki kutekeleza mradi huo wa kimkakati.

Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi, Majaliwa alisisitiza kwamba mradi huo umewekwa katika Ilani ya CCM ya mwaka 2025–2030, jambo linaloonesha dhamira ya Chama kuhakikisha wananchi wa Lindi na Watanzania wananufaika.

“Ilani hii inakuja kutukomboa na kufungua milango ya mkoa wetu. Mradi mkubwa wa LNG unakuja kutekelezwa hapa Lindi. Kwa kuwa utekelezaji huu upo kwenye Ilani ya CCM 2025–30, basi ni juu yetu wana Lindi kumpigia kura, Dk. Samia ili akamilishe taratibu zilizobaki,” alisema.

Akizungumzia ujenzi wa kiwanja cha ndege katika mkoa huo, alisema uwanja huo utakuwa wa kisasa wenye uwezo wa kuhudumia ndege mbalimbali.

“Kiwanja chetu cha ndege kina njia kuu tatu tofauti na viwanja vyote vya ndege Tanzania. Unaweza kutua kutoka popote, jambo linalokwenda sambamba na mradi unaokuja wa LNG. Ilani hii inakuja kutukomboa na kufungua milango ya mkoa wetu,” alisema.

Alibainisha kuwa ilani hiyo pia inatilia mkazo uhifadhi wa mazingira kwa kujenga ukuta maalumu utakaosaidia kuzuia mmomonyoko katika fukwe za Lindi.

Previous Post

DK. SAMIA AVUNJA NGOME YA UPINZANI MKOANI LINDI

Next Post

YANGA, SINGIDA, MLANDEGE MZIGONI TENA KIMATAIFA

Next Post
YANGA, SINGIDA, MLANDEGE MZIGONI TENA KIMATAIFA

YANGA, SINGIDA, MLANDEGE MZIGONI TENA KIMATAIFA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. SAMIA  AELEZA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE

DK. SAMIA AELEZA MAFANIKIO YA UONGOZI WAKE

1 month ago
DK. MWINYI APANIA KUPAISHA UCHUMI

DK. MWINYI APANIA KUPAISHA UCHUMI

4 weeks ago

Popular News

  • SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA HOSPITALI MAALUMU YA SARATANI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.