• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

KATIBU MKUU CCM ZIARANI UCHINA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 24, 2026
in Habari, Kimataifa, Kitaifa
0
KATIBU MKUU CCM ZIARANI UCHINA
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, Balozi Dk. Asha-Rose Migiro, anaondoka nchini leo kuelekea Beijing, Jamhuri ya Watu wa China, kwa ziara ya kikazi ya siku sita kufuatia mwaliko wa Chama cha Kikomunisti cha China.

Ziara hiyo inalenga kuendeleza na kuimarisha uhusiano wa kihistoria na ushirikiano wa karibu uliopo kati ya Chama Cha Mapinduzi na Chama cha Kikomunisti cha China.

 Ziara hii inafanyika katika kipindi ambacho mwaka 2026 umetangazwa rasmi kuwa mwaka wa kukuza uhusiano na maelewano ya kijamii na kitamaduni kati ya China na Afrika. Hivyo, mwaka huu unatoa fursa adhimu ya kuimarisha urafiki, kubadilishana uzoefu na kujenga uelewano wa pamoja kati ya vyama hivi viwili.

Katika ziara hiyo, Katibu Mkuu ataambatana na ujumbe wa watu watano.

Akiwa nchini humo, yeye pamoja na ujumbe wake watafanya mazungumzo na viongozi wa juu wa Chama cha Kikomunisti cha China.

Previous Post

TANZANIA INAYO HIFAHI YA KUTOSHA YA MAFUTA

Next Post

MGODI WA KIHISTORIA WA NIOBIUM KUJENGWA MKOANI MBEYA

Next Post
MGODI WA KIHISTORIA WA NIOBIUM KUJENGWA MKOANI MBEYA

MGODI WA KIHISTORIA WA NIOBIUM KUJENGWA MKOANI MBEYA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. MWINYI ATAKA KODI, TOZO NDOGO

DK. MWINYI ATAKA KODI, TOZO NDOGO

7 months ago
RAIS DK. MWINYI ANADI FURSA Z’BAR

RAIS DK. MWINYI ANADI FURSA Z’BAR

4 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?