• ePaper
Wednesday, October 15, 2025
Subscribe
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
No Result
View All Result
Home Habari Kitaifa

CHAMA MENO NJE SINGIDA BLACK STARS

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 8, 2025
in Kitaifa, Michezo
0
CHAMA MENO NJE SINGIDA BLACK STARS
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

ALIYEKUWA nyota wa Simba na Yanga, Clatous Chama ameweka wazi kuwa amefurahia kujiunga na Singida Black Stars kwani ni timu kubwa hivi sasa na amejipanga kuisaidia kufikia malengo yake.

Chama aliyasema hayo baada ya mchezo wao dhidi ya Polisi ya Kenya katika mashindano ya Kagame yanayofanyika jijini Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Chama alisema atahakikisha anashirikiana vyema na wachezaji wezake ili kufanya vizuri.

Nyota huyo alisema kuwa anajua timu inahitaji nini hivyo yeye kama mchezaji atapambana kwa jasho na damu ili kufikia malengo na kusonga mbele.

“Nimefurahi kujiunga na Singida kwani ni timu kubwa na yenye wachezaji wengi bora hivyo nitapambana kwa jasho na damu kuonyesha kiwango kikubwa kufikia malengo,” alisema.

Chama alisema mashindano hayo ni muhimu kwa timu kwani inayatumia kama maandalizi mazuri kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Alisema ligi ya msimu ujao itakuwa bora na yenye ushindani mkubwa kwani kila timu imejipanga vyema kufanya vizuri.

Previous Post

GAMONDI ALIA NA MUUNGANIKO

Next Post

WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

Next Post
WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WASIRI : CCM INAFANYA KAZI KUBWA YA KULETA MAENDELEO

WASIRI : CCM INAFANYA KAZI KUBWA YA KULETA MAENDELEO

4 weeks ago
CCM YAONESHA KUKUBALIKA, MAELFU WAMIMINIKA

CCM YAONESHA KUKUBALIKA, MAELFU WAMIMINIKA

1 month ago

Popular News

  • SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    SIMBA NI MWENDO WA MABAO LIGI KUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JESCA: DK. SAMIA NI KIONGOZI JASIRI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA WATANZANIA YAKO KATIKA MATENDO – DK. MIGIRO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AAHIDI UCHUMI JUMUISHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. MWINYI AAHIDI KUJENGA HOSPITALI MAALUMU YA SARATANI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
error: Content is protected !!
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2025 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.