• ePaper
Monday, June 8, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari Kitaifa

CHAMA MENO NJE SINGIDA BLACK STARS

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 8, 2025
in Kitaifa, Michezo
0
CHAMA MENO NJE SINGIDA BLACK STARS
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

ALIYEKUWA nyota wa Simba na Yanga, Clatous Chama ameweka wazi kuwa amefurahia kujiunga na Singida Black Stars kwani ni timu kubwa hivi sasa na amejipanga kuisaidia kufikia malengo yake.

Chama aliyasema hayo baada ya mchezo wao dhidi ya Polisi ya Kenya katika mashindano ya Kagame yanayofanyika jijini Dar es Salaam.

Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Chama alisema atahakikisha anashirikiana vyema na wachezaji wezake ili kufanya vizuri.

Nyota huyo alisema kuwa anajua timu inahitaji nini hivyo yeye kama mchezaji atapambana kwa jasho na damu ili kufikia malengo na kusonga mbele.

“Nimefurahi kujiunga na Singida kwani ni timu kubwa na yenye wachezaji wengi bora hivyo nitapambana kwa jasho na damu kuonyesha kiwango kikubwa kufikia malengo,” alisema.

Chama alisema mashindano hayo ni muhimu kwa timu kwani inayatumia kama maandalizi mazuri kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

Alisema ligi ya msimu ujao itakuwa bora na yenye ushindani mkubwa kwani kila timu imejipanga vyema kufanya vizuri.

Previous Post

GAMONDI ALIA NA MUUNGANIKO

Next Post

WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

Next Post
WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

WASANII WASHUSHA BURUDANI NZITO MIKUTANO YA KAMPENI ZA DK. SAMIA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

YAJUE MATUKIO YA MICHEZO YALIYOWEKA ALAMA MWAKA 2025

YAJUE MATUKIO YA MICHEZO YALIYOWEKA ALAMA MWAKA 2025

5 months ago
‘MIFUMO YA UUZAJI MAZAO YA WAKULIMA, WAIMARISHWA’

‘MIFUMO YA UUZAJI MAZAO YA WAKULIMA, WAIMARISHWA’

9 months ago

Popular News

  • YANGA, SIMBA ZATOA MSIMAMO LIGI KUU BARA

    YANGA, SIMBA ZATOA MSIMAMO LIGI KUU BARA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WFP KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA USIMAMIZI WA MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HESHIMA KUBWA KWA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?