• ePaper
Wednesday, July 29, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

AZAM YAZITOLEA MACHO WYDAD, NAIROBI UTD NA AS MANIEMA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 7, 2025
in Burudani, Kitaifa, Michezo
0
AZAM YAZITOLEA MACHO WYDAD, NAIROBI UTD NA AS MANIEMA
0
SHARES
16
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

UONGOZI wa klabu ya Azam FC umeweka wazi kuwa macho yote yapo katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika.

Katika michuano hiyo, Azam imepangwa kundi B sambana na Wydad AC ya Morocco, Nairobi United ya Kenya na AS Maniema ya DR Congo.

Akizungumzia na UHURU jijini Dar es Salaam, kuelekea katika michuano hiyo, Mwenyekiti wa klabu hiyo, Nassor Idrisa ‘Father’ alisema Azam msimu huu imejipanga vizuri kufanya vyema katika michuano hiyo.

 “Unaona kwa sasa Azam ina mabadiliko makubwa na hata inavyocheza tofauti  na msimu uliopita, hiyo inaonesha ni jinsi gani tunahitaji ushindi na kufika mbali katika mashindano hayo na kuweka rekodi safi,” alisema.

‘Father’ alisema kundi ambalo wamepangwa ni gumu lakini hakuna kinachoshindikana.

“Hapa tunaendelea kujipanga vizuri kuhakikisha tunafanyia kazi upungufu uliotokea katika michezo iliyopita,”alisema.

Hata hivyo, Mwenyekiti huyo alisema kuwa wanajisikia furaha kubwa kufanya kazi na kocha wao, Florent Ibenge ambaye anazidi kukiweka vizuri kikosi chao.

Kabla ya Azam FC kuanza kucheza mechi hizo za kimataifa, itakuwa na mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Azam itacheza  ugenini dhidi ya timu ya Namungo, mechi hiyo imepangwa kupigwa Jumapili katika Uwanja wa Majaliwa.

Previous Post

YANGA, SIMBA ZAANZA KUCHONGA 

Next Post

WANASIASA WAGUSIA USHINDI WA RAIS DK. SAMIA

Next Post
WANASIASA WAGUSIA USHINDI WA RAIS DK. SAMIA

WANASIASA WAGUSIA USHINDI WA RAIS DK. SAMIA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

GAMONDI AITA JESHI LA MAANGAMIZI, MANULA NDANI

GAMONDI AITA JESHI LA MAANGAMIZI, MANULA NDANI

4 months ago
TANZANIA IPO SALAMA MIKONONI MWA CCM – PETER MSIGWA  

TANZANIA IPO SALAMA MIKONONI MWA CCM – PETER MSIGWA  

11 months ago

Popular News

  • MVUTANO MAZISHI YA WAMBURA WAFIKA KORTINI, DALILI ZA MARIDHIANO ZACHOMOZA

    MVUTANO MAZISHI YA WAMBURA WAFIKA KORTINI, DALILI ZA MARIDHIANO ZACHOMOZA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA ATAJA SIFA ZA MAWASILIANO SERIKALINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • 50 BORA ‘FORM SIX’ KUSOMA AI NJE YA NCHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DHAHABU YENYE THAMANI YA ZAIDI YA BILIONI 1.2/- YAKAMATWA IKITOROSHWA DAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA ATAKA UADILIFU, USHIRIKIANO NA MATOKEO KWA VIONGOZI WAPYA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?