• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO DODOMA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
November 10, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa
0
BUNGE LA 13 KUANZA RASMI KESHO DODOMA
0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU, 
DODOMA

MKUTANO wa kwanza wa Bunge la 13 unatarajiwa kuanza rasmi kesho, Novemba 11, 2025, jijini Dodoma.

Mkutano huo unafanyika baada ya kukamilika kwa shughuli za Uchaguzi Mkuu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuitisha Bunge hilo kupitia tangazo lililotolewa katika Gazeti la Serikali.

Kupitia tangazo hilo, wabunge wateule walipewa nafasi ya kujisajili kuanzia Novemba 8 hadi 10, 2025, ambapo zoezi hilo linakamilika leo, Novemba 11, 2025.

Pamoja na mambo mengine, kuanza kwa mkutano huo kutaambatana na shughuli mbalimbali ikiwemo kuapishwa kwa wabunge wateule, uchaguzi wa Spika na Naibu Spika wa Bunge, kuthibitishwa kwa jina la Waziri Mkuu, pamoja na uzinduzi rasmi wa Bunge hilo jipya.

Previous Post

TANZANIA YAIHAKIKISHIA DUNIA HALI YA UTALII IKO SALAMA

Next Post

ZUNGU SPIKA MPYA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Next Post
ZUNGU SPIKA MPYA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

ZUNGU SPIKA MPYA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

HESABU KALI SIMBA,YANGA ZIKIWAWINDA AL AHLY, ESPERANCE

HESABU KALI SIMBA,YANGA ZIKIWAWINDA AL AHLY, ESPERANCE

3 months ago
SHULE YA BILIONI 1.23/- YAMKOSHA MWIGULU

SHULE YA BILIONI 1.23/- YAMKOSHA MWIGULU

2 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?