• ePaper
Thursday, April 16, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

BOUANGA MATUMAINI KIBAO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 25, 2025
in Burudani, Kimataifa, Michezo
0
BOUANGA MATUMAINI KIBAO
0
SHARES
4
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RABAT, Morocco

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Gabon, Denis Bouanga amesema wana matumaini ya kuweka historia ya aina yake katika michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco.

Bouanga ni mmoja wa wachezaji wenye uzoefu mkubwa katika michuano hiyo ndani ya kikosi cha Gabon msimu huu.

Amesema mipango yake ni kuisaidia Gabon kufanya vyema katika michuano ya AFCON msimu huu japokuwa watakutana na upinzani mkali.

“Nina matumaini nitaisaidia timu kufika hatua mbali katika michuano ya AFCON japokuwa tutakutana na upinzani mkubwa.

“Tunataka kufika mbali na kuwa na mafanikio ambayo hatujawahi kuyapata hapo awali katika michuano ya AFCON,” alisema.

(BBC)

Previous Post

MBEUMO FURAHA TELE

Next Post

KOCHA GABON AITAKANUSU FAINALI

Next Post
KOCHA GABON AITAKANUSU FAINALI

KOCHA GABON AITAKANUSU FAINALI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

‘MSAUZI’, MHISPANIA WACHUANA UKOCHA SIMBA

‘MSAUZI’, MHISPANIA WACHUANA UKOCHA SIMBA

4 months ago
SIMBACHAWENE AZINDUA NAMBA YA KUFUATILIA NIDA

SIMBACHAWENE AZINDUA NAMBA YA KUFUATILIA NIDA

4 months ago

Popular News

  • PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    PROFESA IBRAHIM ATIA NENO TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAFUTA LESENI 40 ZA UTAFITI  WA MADINI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TIMU OFISI YA MAKAMU WA RAIS, WIZARA YA MAJI KUCHUANA MEI MOSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, FOUNTAIN GATE SIKU YA HESHIMA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. MWINYI AKAGUA MJI WA AFCON FUMBA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?