• ePaper
Thursday, June 18, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

KOCHA GABON AITAKANUSU FAINALI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 25, 2025
in Burudani, Kimataifa, Michezo
0
KOCHA GABON AITAKANUSU FAINALI
0
SHARES
10
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

RABAT, Morocco

KOCHA wa timu ya taifa ya Gabon, Thierry Mouyouma, amesema mipango yake ni kufika nusu fainali katika michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025).

 Kocha Mouyouma alisisitiza amejipanga kufanya vyema katika michuano hiyo na  mipango yake ni kufika hatua ya nusu fainali.

Alisema kikosi chake kimesheheni wachezaji wenye uwezo mzuri wa kumsaidia kufanya vyema katika michuano hiyo msimu huu.

Alisema alishapata uzoefu wa michuano hiyo akiwa kama mchezaji, hivyo ana imani atatumia mbinu mbalimbali kuhakikisha anafikia malengo msimu huu.

“Nitatumia uozefu wangu katika michuano ya AFCON 2025 kuhakikisha tunafikia malengo tuliyojiwekea.

“Nilipata uzoefu nikiwa mchezaji, hivi sasa ni kocha, hivyo ninaamini tutafanya vizuri katika michuano ya msimu huu na kufika hatua ya nusu fainali,” alisema.

Alisema anatambua wamepangwa kundi lenye timu zenye uzoefu na michuano hiyo, lakini wamejipanga kupambana ili kutimiza malengo waliyojiwekea.

(BBC)

Previous Post

BOUANGA MATUMAINI KIBAO

Next Post

MIILI YA WALIOFARIKI AJALI YA HELKOPTA YATAMBULIWA

Next Post
MIILI YA WALIOFARIKI AJALI YA HELKOPTA YATAMBULIWA

MIILI YA WALIOFARIKI AJALI YA HELKOPTA YATAMBULIWA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

DK. SAMIA KUFANYA MKUTANO MKUBWA WA KAMPENI ZA CCM GOMBANI YA KALE

DK. SAMIA KUFANYA MKUTANO MKUBWA WA KAMPENI ZA CCM GOMBANI YA KALE

9 months ago
RC MTAKA AWAPA SOMO LA AMANI VIJANA WA NJOMBE

RC MTAKA AWAPA SOMO LA AMANI VIJANA WA NJOMBE

6 months ago

Popular News

  • WABUNGE: AMANI ISICHEZEWE

    WABUNGE: AMANI ISICHEZEWE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WABUNGE WAIPONGEZA NSSF NA PSSSF KWA KUANZISHA SKIMU YA HIFADHI KWA WALIOJIAJIRI NA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA NGOZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WABUNGE WAPONGEZA UWEKEZAJI KLICL

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAKAGUZI WA CAF WARIDHISHWA NA MAENDELEO YA VIWANJA VYA AFCON 2027

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MKAKATI KUDHIBITI VIFO WAJAWAZITO WAANIKWA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?