• ePaper
Saturday, June 6, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

EDNA LEMA AWAITA MASHABIKI KMC

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 27, 2025
in Burudani, Kitaifa, Michezo
0
EDNA LEMA AWAITA MASHABIKI KMC

KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema

0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema amewaomba mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi katika mchezo wa dabi ya Ligi ya Wanawake Tanzania Bara dhidi ya Simba Queens kwa lengo la kuwapa hamasa wachezaji.

Mchezo huo utafanyika kesho saa 12:00 jioni katika Uwanja wa KMC, jijini Dar es Salaam.

Akizungumza Dar es Salaam, kocha huyo alisema maandalizi ya mchezo wa dabi yanaendelea vizuri huku wachezaji wake wakitambua umuhimu wa mechi hiyo.

“Waje Jumapili tunatamani kushinda mchezo wetu dhidi ya Simba Queens ni kipimo kizuri kwa sisi kuona ni namna gani tunaenda kujipanga kujiandaa vizuri msimu huu, hivyo ni mechi muhimu kwetu.

“Nawahaidi tunaenda kufanya vizuri katika mchezo huo kwa sababu tunahitaji kupata ushindi ili kuendelea kubaki kileleni kwa sababu sisi ndiyo tunaongoza ligi hivi sasa,” alisema.

Kocha huyo aliongezea kuwa wachezaji wake wako tayari kwa mchezo wa kesho hivyo anawaomba wadau wa soka wajitokeza kwenda kuona burudani kutoka kwao kwani wamejipanga vyema.

“Tunawaomba mashabiki wa Yanga princess kujitokeza kuja kutupa sapoti ili kufanya vizuri katika mchezo wetu, malengo yetu ni kuendelea kuwa kileleni katika msimamo wa ligi, mechi ya leo ndiyo italeta njia nzuri,” alisema.

Katika msimamo wa ligi Yanga Princess ipo kileleni akiwa na pointi 12, wakati Simba Queens yupo nafasi ya pili akiwa na pointi 12 wote wameshuka dimbani mara nne.

Previous Post

MOROCCO ATOA TANO KOMBE LA MAPINDUZI

Next Post

TANZANIA, UGANDA KATIKA TAKWIMU

Next Post
TANZANIA, UGANDA KATIKA TAKWIMU

TANZANIA, UGANDA KATIKA TAKWIMU

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

NI HESHIMA YA TANZANIA

NI HESHIMA YA TANZANIA

2 months ago
UWEKEZAJI WA SHILINGI BILIONI 50 KITUO CHA MPOMVU WAIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME KANDA YA ZIWA

UWEKEZAJI WA SHILINGI BILIONI 50 KITUO CHA MPOMVU WAIMARISHA UPATIKANAJI WA UMEME KANDA YA ZIWA

3 months ago

Popular News

  • MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WFP KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA USIMAMIZI WA MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HESHIMA KUBWA KWA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?