• ePaper
Monday, January 19, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

DIAMOND KUTOKA KIVINGINE

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 10, 2026
in Burudani
0
DIAMOND KUTOKA KIVINGINE
0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya, Nasib Abdul ‘Diamond’, ametoa ahadi kwa mashabiki zake kuwa kabla ya mwezi wa mtukufu wa Ramadhani anatarajia kuja kivingine kwa kuachia albamu mpya.

Akizungumza jijini Dar es Salaam,  Diamondi alisema kuwa albamu hiyo itakuwa bora na kuwakumbusha mashabiki wake kwanini alipendwa kipindi anaanza muziki.

Alisema kuwa katika albamu hiyo kutakuwa na nyimbo kali tofauti na ‘Zuwena’ na ‘Yatapita’ ambazo tayari zimeshasikilizwa sana na mashabiki wake.

“Natarajia kutoa albamu yangu kabla ya mwezi wa Ramadhani, ninataka niwakumbushe nini kilinifanya niweze kupendwa kipindi naanza muziki na nyimbo zangu kama ‘Kamwambie’ na ‘Mbagala’.

“Albamu itakuwa moto wa kuotea mbali kwani itasheheni nyimbo zenye ubora zaidi tofauti na zilizozoeleka, kila shabiki wangu atasikiliza moja hadi nyingine bila kuchoka,” alisema Diamond.

Msanii huyo alisema anajua nini ambacho mashabiki wake wanakitaka, hivyo atawapatia kabla ya kuanza kwa mfungo wa mwezi wa Ramadhani.

Msanii huyo amewataka mashabiki wake kukaa mkao wa kula kwani albamu hiyo itakata kiu ya burudani waliyoikosa kwa muda mrefu.

Previous Post

KOCHA SIMBA AJITETEA, MASHABIKI WACHARUKA

Next Post

RAIS DK. SAMIA ATAJA SABABU MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI

Next Post
RAIS DK. SAMIA ATAJA SABABU MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI

RAIS DK. SAMIA ATAJA SABABU MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WANASIASA WAGUSIA USHINDI WA RAIS DK. SAMIA

WANASIASA WAGUSIA USHINDI WA RAIS DK. SAMIA

2 months ago
MAELFU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA DK. SAMIA

MAELFU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA DK. SAMIA

5 months ago

Popular News

  • KOFANE ALIVYOANDIKA HISTORIA CAMEROON AFCON MSIMU HUU

    KOFANE ALIVYOANDIKA HISTORIA CAMEROON AFCON MSIMU HUU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MIGIRO KATIBU MKUU WA  KWANZA MWANAMKE NA MIKAKATI YA KUIMARISHA MASHINA KATIKA MITAA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SAFARI KUMALIZA CHANGAMOTO UMEME IRINGA, DODOMA YAIVA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TANZANIA YAINGIA 10 BORA KUVUTIA UWEKEZAJI AFRIKA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DK. SAMIA AMREJESHA MAKONDA AFCON

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?