• ePaper
Thursday, June 18, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

SHAGEMBE ATAMBA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 15, 2026
in Burudani, Michezo
0
SHAGEMBE ATAMBA
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

BONDIA wa ngumi za kulipwa, Mtanzania Frank Shagembe, ametamba kwamba hapa nchini bado hajaona bondia wa kupigana naye na kama kuna mzawa anaamini ana uwezo huo, anamkaribisha ulingoni.

Shagembe ambaye hivi sasa ni bingwa wa WBO Afrika anayecheza uzito wa juu (kilo 76), amesema mabondia wenye uzito wake nchini wamekuwa wakihofia kuchuana naye.

“Hivi sasa akili yangu ni kucheza na mabondia kutoka nje ya nchi maana hapa nyumbani wananikimbia sana kwa kuhofia nitawapiga, hivyo nimeongea na uongozi wangu wanitafutie mapambano nje ya nchi, “amesema.

Bondia huyo amesema mkanda wa WBO utakuwa chachu ya kuzidisha mazoezi kwa bidii kwa sababu anahitaji kushinda mikanda mikubwa mingine.

“Hivi sasa nimezidisha muda wa kufanya mazoezi kwa sababu nina kiu ya kushinda mikanda mikubwa na kutangazwa jina langu katika anga za kimataifa,” amesema.

Bondia huyo aliwashauri mashabiki na Watanzania wategemee mambo mazuri kutoka kwake kwani amejipanga kuonyesha kiwango bora pambano hadi pambano.

Previous Post

MEJA KUNTA AGEUKIA WASANII CHIPUKIZI

Next Post

CARRICK KOCHA MPYA MAN UNITED

Next Post
CARRICK KOCHA MPYA MAN UNITED

CARRICK KOCHA MPYA MAN UNITED

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

RAIS DK. SAMIA ANADI FURSA KEMKEMU

RAIS DK. SAMIA ANADI FURSA KEMKEMU

1 week ago
WATAALAMU WAFUNGUKA MITAZAMO YA MIKATABA 8

WATAALAMU WAFUNGUKA MITAZAMO YA MIKATABA 8

1 month ago

Popular News

  • WABUNGE: AMANI ISICHEZEWE

    WABUNGE: AMANI ISICHEZEWE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WABUNGE WAIPONGEZA NSSF NA PSSSF KWA KUANZISHA SKIMU YA HIFADHI KWA WALIOJIAJIRI NA UWEKEZAJI WA KIWANDA CHA NGOZI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WABUNGE WAPONGEZA UWEKEZAJI KLICL

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAKAGUZI WA CAF WARIDHISHWA NA MAENDELEO YA VIWANJA VYA AFCON 2027

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MKAKATI KUDHIBITI VIFO WAJAWAZITO WAANIKWA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?