• ePaper
Sunday, June 28, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

MEJA KUNTA AGEUKIA WASANII CHIPUKIZI

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 15, 2026
in Burudani
0
MEJA KUNTA AGEUKIA WASANII CHIPUKIZI

Meja Kunta

0
SHARES
5
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

MSANII nyota wa singeli, Meja Kunta, amesema mwaka huu amejipanga kuhakikisha anawapa sapoti kubwa wasanii wachanga kutimiza ndoto zao.

Nyota huyo amewahi kuwika na nyimbo mbalimbali zikiwemo Mamu, Kidimbwi, Madanga ya Mke Wangu, Wafoo, Sina, Tabia Mbaya na Chura Superstar.

Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Meja Kunta alisema amefanya kazi kubwa ndani na nje ya nchi, lakini sasa amejipanga kuwaunga mkono wasanii chipukizi.

Meja Kunta alisema hatua hiyo imekuja ili kuhakikisha wasanii chipukizi wanatimiza ndoto za kuwa wasanii wakubwa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.

“Nimebarikiwa kufanya kazi kubwa ndani na nje ya Tanzania.Lakini mwaka huu nimechagua kuwa sehemu ya safari ya wasanii wanaohitaji msaada, ili wakue na kusimama imara,” alisema.

Nyota huyo amewaomba Watanzania kuwaunga mkono wasanii chipukizi kuhakikisha muziki huo unasonga mbele.

Katika kulithibitisha hilo, mkali huyo wa miondoko ya singeli ladha, ameuanza mwaka kwa kushirikishwa katika wimbo unaoitwa Maumivu aliouimba na msanii chipukizi, Don Breeze.

Previous Post

MAKONDA WEMBE ULE ULE AFCON

Next Post

SHAGEMBE ATAMBA

Next Post
SHAGEMBE ATAMBA

SHAGEMBE ATAMBA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WAZIRI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUWA MACHO DHIDI YA WAVUNJA AMANI

WAZIRI MKUU AVITAKA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KUWA MACHO DHIDI YA WAVUNJA AMANI

1 month ago
SERIKALI YAOMBA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA IRELAND KUPITIA AWAMU YA PILI YA MRADI WA MAZIWA FAIDA

SERIKALI YAOMBA KUENDELEZA USHIRIKIANO NA IRELAND KUPITIA AWAMU YA PILI YA MRADI WA MAZIWA FAIDA

2 weeks ago

Popular News

  • HAKUNA MJADALA AMANI, USALAMA WA NCHI-MWIGULU

    HAKUNA MJADALA AMANI, USALAMA WA NCHI-MWIGULU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • YANGA, SIMBA SIKU YA KILIO,KICHEKO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • VIJANA 400  WAAGWA KWENDA KUFANYA KAZI NJE YA NCHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • ‘NAFUU YA MAFUTA KUANZA KUONEKANA JULAI’ NDEJEMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERIKALI YAZITAKA TAASISI ZOTE KUJIANDAA KUKABILIANA NA ATHARI ZA EL-NINO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?