• ePaper
Friday, April 24, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

BARKER ALIA NA NAFASI SIMBA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 20, 2026
in Burudani, Habari, Michezo
0
BARKER ALIA NA NAFASI SIMBA
0
SHARES
3
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

KOCHA wa Simba, Muafrika Kusini, Steve Barker amesema timu yake imeshindwa kuvuna pointi tatu dhidi ya Mtibwa Sugar kutokana na kushindwa kutumia vyema nafasi za wazi ilizozipata.

Simba ilitoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar juzi katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar es Salaam.

Akizungumza Dar es Salaam, Barker alisema wachezaji wake walitengeneza nafasi nyingi, lakini walishindwa kuzibadili kuwa mabao.

“Tulitengeza nafasi nyingi za kufunga lakini wachezaji hawakufunga, hii ndiyo iliyowapa nguvu wapinzani kupambana hadi wakapata bao la kusawanzisha, tunakwenda kurekebisha makosa yaliyotokea,” alisema.

Kocha huyo alisema wanakwenda kujipanga kwa michezo ijayo ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) dhidi ya Esperance de Tunis ya Tunisia.

Previous Post

NI ZAMU YETU LINAKUJA NYUMBANI

Next Post

SADIO MANE, SHUJAA WA SENEGAL AFCON 2025

Next Post
SADIO MANE, SHUJAA WA SENEGAL AFCON 2025

SADIO MANE, SHUJAA WA SENEGAL AFCON 2025

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

ONYO LA RAIS DK. SAMIA LAWAIBUA WASOMI

ONYO LA RAIS DK. SAMIA LAWAIBUA WASOMI

3 months ago
HERSI ACHOMOZA FIFA

HERSI ACHOMOZA FIFA

4 months ago

Popular News

  • WAZIRI MKUU AWASHUKIA WACHOCHEZI MIGOGORO

    WAZIRI MKUU AWASHUKIA WACHOCHEZI MIGOGORO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • UKWELI HADHARANI TUME YA JAJI CHANDE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • YASIJIRUDIE TENA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MSD YABAINISHA DHAMIRA KUIMARISHA USHIRIKIANO NA SEKTA YA AFYA BINAFSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI ATAJA VIPAUMBELE 10 SEKTA YA NISHATI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?