• ePaper
Wednesday, September 9, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

TAIFA STARS KUKIPIGA FIFA SERIES 2026

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
February 25, 2026
in Burudani, Habari, Kimataifa, Kitaifa, Michezo
0
TAIFA STARS KUKIPIGA FIFA SERIES 2026
0
SHARES
3
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

TIMU ya taifa ‘Taifa Stars’ inatarajiwa kuchuana katika mashindano maalumu ya kirafiki ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ambayo yanajulikana kama FIFA Series 2026.

Katika michuano hiyo itakayofanyika katika maeneo mbalimbali kuanzia Machi 25 hadi Machi 31, mwaka huu, Tanzania imepangwa katika kundi la Rwanda B ambapo mechi zake zitachezwa Uwanja wa Pele, Kigali nchini Rwanda.

Kundi hilo linaudwa na timu za Tanzania kutoka Bara la Afrika, Macau iliyopo Asia, Aruba kutoka Amerika Kusini na Liechtenstein iliyopo Ulaya.

Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na FIFA, Tanzania itakipiga na Liechtenstein wakati Aruba ikicheza na Macau na mshindi wa kila mechi atatinga fainali wakati itakayofungwa itacheza mshindi wa tatu.

Mbali na kundi la Rwanda B ililopo Tanzania, makundi mengine ni Australia, Azerbaijan, New Zealand, Kazakhstan, Rwanda A, Indonesia, Puerto Rico, Uzbekhstan na Rwanda B.

Previous Post

SIMBA, YANGA MZIGONI LEO

Next Post

MAYWEATHER, PACQUIAO, KUZICHAPA TENA SEPTEMBA

Next Post
MAYWEATHER, PACQUIAO, KUZICHAPA TENA SEPTEMBA

MAYWEATHER, PACQUIAO, KUZICHAPA TENA SEPTEMBA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

TPA YATANGAZA KUPUNGUZA TOZO YA UENDESHAJI

TPA YATANGAZA KUPUNGUZA TOZO YA UENDESHAJI

4 months ago
MOURINHO WA YANGA PRINCESS AFUNGUKA

MOURINHO WA YANGA PRINCESS AFUNGUKA

9 months ago

Popular News

  • RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    RAIS DK. SAMIA, NDEJEMBI TURUFU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI AONYA, ATOA SIKU 60 WENYE SILAHA HARAMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • NDEJEMBI MZIGONI RASMI, AKEMEA KAZI KWA MAZOEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUME MIPANGO, NIRC WAJADILI UBORA MIRADI YA UMWAGILIAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MASAUNI AANIKA UMAHIRI WA TANZANIA INAVYOLINDA UDONGO, MATUMIZI MBOLEA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?