• ePaper
Saturday, May 2, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

WAZIRI KAIRUKI ASISITIZA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA MAWASILIANO

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
March 12, 2026
in Habari, Kitaifa
0
WAZIRI KAIRUKI ASISITIZA MAPINDUZI MAKUBWA SEKTA YA MAWASILIANO
0
SHARES
7
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Kairuki amesema uwekezaji wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Airtel nchini umeongeza mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa maduka 17 ya Airtel, Goba jijini Dar es Salaam, Waziri Kairuki ameeleza kuwa uwekezaji huo ni ishara ya nia ya dhati kwa kampuni hiyo, kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano na kuonyesha imani yake katika mazingira ya biashara Tanzania chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan.

“Maduka haya mapya yanaonyesha dhati ya Airtel katika kuleta huduma karibu na wananchi huku yakiboresha uzoefu wa wateja. Pia unaashiria imani thabiti katika mazingira ya biashara Tanzania,” amesema Waziri Kairuki.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Charles Kamoto, amesema maduka hayo hayako tu kama maduka ya rejareja bali yameundwa kama vituo vya kisasa vya huduma mbalimbali zikiwemo za kidijitali.

“Maduka haya yamewekwa katika maeneo yenye shughuli nyingi jijini Dar es Salaam, ili kurahisisha upatikanaji wa huduma kwa wakazi na wajasiriamali,” amesema.

Naye Mkurugenzi wa Uzoefu wa Wateja Airtel Tanzania, Adriana Lyamba, amesema maduka hayo yameundwa kutoa huduma haraka, bila karatasi, na kwa ufanisi.

Previous Post

TUME YA JAJI CHANDE KUIMARISHA DEMOKRASIA

Next Post

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA 10 CBE

Next Post
KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA 10 CBE

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA 10 CBE

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MWISHO WA ENZI

MWISHO WA ENZI

2 months ago
SERIKALI ZANZIBAR YAONGEZA TEKNOLOJIA KUDHIBITI MAKOSA YA BARABARANI

SERIKALI ZANZIBAR YAONGEZA TEKNOLOJIA KUDHIBITI MAKOSA YA BARABARANI

4 months ago

Popular News

  • TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    TANZANIA YAJINADI KIMATAIFA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • VYALENGA KUIJENGA JAMII KIUCHUMI NA KIROHO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KUVUMILIANA MUHIMU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WAZIRI SANGU ABAINISHA HIFADHI SKIMU INAVYOENDA KUBADILI MAISHA YA WATANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TUCTA: WAAJILI WATEKELEZE NYONGEZA YA KIMA CHA MISHAHARA SEKTA BINAFSI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?