• ePaper
Thursday, May 14, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

HATI YA MAKUBALIANO YA KUANDAA AFCON 2027 YASAINIWA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
May 11, 2026
in Burudani, Habari, Kimataifa, Kitaifa, Michezo
0
HATI YA MAKUBALIANO YA KUANDAA AFCON 2027 YASAINIWA
0
SHARES
4
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

NCHI  waandaji wa Mashindano ya Kombe la Mataifa  ya Afrika 2027 (AFCON 2027), wamesaini hati ya makubaliano ya pamoja inayojulikana kama CAF Joint Resolution – TotalEnergies AFCON PAMOJA 2027, leo Mei  11, 2026.

Nchi hizo ambazo ni Tanzania Kenya na Uganda, zimesaini hati hiyo kwa lengo la kuimarisha uratibu na ushirikiano katika maandalizi ya mashindano hayo makubwa ya barani Afrika.

Utiaji saini makubaliano hayo yameshuhudiwa na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), Dk. Patrice Motssepe.

Tanzania imewakilishwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Paul Makonda na Viongozi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), wakiongozwa na Rais Wallace Karia.

Previous Post

MTIHANI MZITO KWA MOALIN

Next Post

TANZANIA YASISITIZA KUTUMIA AKILI UNDE KUKABILI MAAFA

Next Post
TANZANIA YASISITIZA KUTUMIA AKILI UNDE KUKABILI MAAFA

TANZANIA YASISITIZA KUTUMIA AKILI UNDE KUKABILI MAAFA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MASTAA YANGA, SIMBA WAPEWA PROGRAMU ZA MAZOEZI

MASTAA YANGA, SIMBA WAPEWA PROGRAMU ZA MAZOEZI

5 months ago
DK. MWIGULU ABAINI ‘MADUDU’ MENGINE

DK. MWIGULU ABAINI ‘MADUDU’ MENGINE

3 months ago

Popular News

  • POLISI WAPATA SEHEMU YA KICHWA CHA JAMES TEMBA, MGANGA WA KIENYEJI MBARONI

    POLISI WAPATA SEHEMU YA KICHWA CHA JAMES TEMBA, MGANGA WA KIENYEJI MBARONI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • BEHEWA LA AFYA LAIBUA WADAU

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • IDADI WAGONJWA AFYA YA AKILI TISHIO

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • BALOZI DK. BASHIRU AONGOZA JUMUIKO LA KADEFO AKITAJA JITIHADA ZA RAIS DK. SAMIA KUENDELEZA KAGERA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • TPA YATANGAZA KUPUNGUZA TOZO YA UENDESHAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?