• ePaper
Wednesday, June 24, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

CARDINAL PENGO AFARIKI DUNIA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
February 20, 2026
in Habari, Kitaifa
0
CARDINAL PENGO AFARIKI DUNIA
0
SHARES
123
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU

ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Cardinal Pengo, amefariki dunia leo tarehe 19 Februari 2026 majira ya saa 4:00 usiku.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa, Kardinali Pengo amefariki akiwa anapatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam.

“Ninayo masikitiko makubwa kuwatangazieni kwamba leo tarehe 19/02/2026 saa 04:00 usıku huu mpendwa baba yetu Mwadhama Polyearp Cardinal Pengo, Askofu Mkuu Mstaatu wa Jımbo Kuu la Dar es Salaam, ameitwa nyumbani kwa Baba wa Milele akiwa katıka Tasısı ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) jijini Dar es Salaam.

Taarifa za mazishi zitawajia mara baada ya mipango kukamilika. Tumwombee apumzike kwa amani.

Raha ya milele umpe Ee Bwana na Mwanga wa Milele Umwangazie, Apumzike kwa
Amani; Amina.”

Taarifa hiyo imetolewa na Askofu Mkuu wa Dar es Salaam, Thaddeus Ruwaichi

Previous Post

SABABU ‘DABI’ YANGA, SIMBA KUPELEKWA Z’BAR

Next Post

RAIS DK. SAMIA AMLILIA KARDINALI PENGO

Next Post
RAIS DK. SAMIA AMLILIA KARDINALI PENGO

RAIS DK. SAMIA AMLILIA KARDINALI PENGO

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

AJIRA 45,000 ZANUKIA

AJIRA 45,000 ZANUKIA

2 months ago
IBENGE ALIA NA WASHAMBULIAJI

IBENGE ALIA NA WASHAMBULIAJI

7 months ago

Popular News

  • YANGA, AZAM FC HAIJAISHA HADI IISHE

    YANGA, AZAM FC HAIJAISHA HADI IISHE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MAFANIKIO YA MIAKA 30 TRA, YAGUSA WABUNGE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HATUTAVUMILIA UHUJUMU WA MIRADI – NDEJEMBI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA KUZINDUA JENGO LA BILIONI 17/- KCMC

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • BODABODA WAKINGIWA KIFUA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?