• ePaper
Sunday, September 20, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

KASI MAANDALIZI AFCON 2027 YAIKUNA CAF

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 18, 2026
in Burudani, Habari, Kitaifa, Michezo
0
KASI MAANDALIZI AFCON 2027 YAIKUNA CAF
0
SHARES
10
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na NASRA KITANA

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), limesema limeridhishwa na kiwango cha    cha maandalizi yanayofanywa na Tanzania, kw ajili ya fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027).

Tanzania itaandaa fainali hizo pamoja na Kenya na Uganda, kuanzia Juni 19 hadi Julai 17, 2027.

Pamoja na pongezi hizo, CAF imeitaka kamati ya maandalizi kuongeza kasi ya utekelezaji wa miundombinu ambayo haijakamilika katika kipindi cha miezi tisa iliyosalia, kabla ya kuanza mashindano.

Rais wa CAF, Rais wa CAF, Patrice Motsepe, aliyasema hayo, jijini Dar es Salaam jana,  alipofanya ziara na kukagua Uwanja wa Benjamin Mkapa, ikiwa ni sehemu ya ufuatiliaji wa maandalizi ya fainali hizo nchini. 

Motsepe alisema ameona kasi ya maandalizi kwa Tanzania na anaimani kuwa wiki chache kabla ya kuanza  mashindano,  kila kitu kitakuwa kimekamilika.

“Nimefurahi kuona kasi ya Tanzania, maandalizi yapo katika hatua nzuri na nina imani yatakamilika kwa wakati, sehemu ambapo kasi ni ndogo naamini itaongezwa na kukamilika kwa wakati,” alisema Motsepe.  

Alisema CAF inatarajia kuona maeneo ambayo yameonekana kuwa nyuma katika maandalizi yataharakishwa na kurekebishwa, nina imani kubwa zaidi baada ya kupokea ripoti ya kina kuhusu maendeleo ya Tanzania.

Aliongeza kuwa anatarajia kurejea nchini Januari 2027 kwa ajili ya kufanya tathmini ya mwisho, kabla ya mashindano  kuanza.  

Ziara ya Motsepe imekuja wakati Tanzania ikiendelea kufanya maandalizi kwa kasi na kufikia asilimia 80,  

Uwanja wa Benjamin Mkapa ulifungwa Machi 2026 na kufanyiwa maboresho ya mwisho ya eneo la kuchezea.   

Previous Post

FUNZO JIPYA KADI NYEKUNDU YANGA

Next Post

KOCHA SIMBA KIFUA MBELE

Next Post
KOCHA SIMBA KIFUA MBELE

KOCHA SIMBA KIFUA MBELE

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

MZEE MALECELA ASEMA  HAKUNA UTALII BILA AMANI

MZEE MALECELA ASEMA  HAKUNA UTALII BILA AMANI

5 months ago
SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

4 months ago

Popular News

  • NDEJEMBI AAGIZA DAMPO LA PUGU LIBORESHWE

    NDEJEMBI AAGIZA DAMPO LA PUGU LIBORESHWE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • JK ATOA USHUHUDA DALILI SARATANI TEZI DUME

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KOCHA SIMBA KIFUA MBELE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KASI MAANDALIZI AFCON 2027 YAIKUNA CAF

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • FUNZO JIPYA KADI NYEKUNDU YANGA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?