• ePaper
Saturday, June 6, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Habari

TUNAMWOMBEA KURA DK. SAMIA, WATANZANIA NI MASHAHIDI – WASIRA

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
September 2, 2025
in Habari, Kitaifa, Siasa, Uchaguzi
0
TUNAMWOMBEA KURA DK. SAMIA, WATANZANIA NI MASHAHIDI – WASIRA

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira

0
SHARES
1
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na MWANDISHI WETU,

Babati

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema wanapomwombea kura Mgombea Urais kupitia tiketi ya CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, Watanzania ni mashahidi wa kazi kubwa alizofanya katika miaka minne na nusu ya uongozi wake.

Wasira amesema hayo, katika kikao cha ndani kilichohusisha viongozi na wanachama wa CCM, wilayani Babati.

Ameleza tangu Rais Samia achukue uongozi kutoka kwa mtangulizi, Hayati Dk. John Magufuli, kuna mambo makubwa yamefanyika nchini.

“Wanataka kumwondoa, lakini sababu hawana na ukisema nao wapinzani pembeni, wanasema lakini nyie wakubwa, mmefanya mambo mengi.

“Nilikuwa mjumbe wa kamati iliyoandika Ilani mpya ya mwaka 2025 2030, akanipigia kiongozi mmoja wa chama cha upinzani, anasema nimeisoma Ilani yenu, mmeandika kila kitu, sasa sisi tutaandika nini?.

“Kwa sababu CCM, tulikuwa na Ilani ya Uchaguzi Mkuu 2020 imetekelezwa mpaka tumevuka na ushahidi wake hata hapa Babati upo katika sekta zinazohusu watu.

Previous Post

CCM YAAHIDI KUKAMILISHA MCHAKATO KATIBA MPYA

Next Post

CCM YACHANJA MBUGA

Next Post
CCM YACHANJA MBUGA

CCM YACHANJA MBUGA

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

WAZIRI MKUU: WIZARA YA AFYA FUATILIENI UPATIKANAJI WA DAWA MAHSUSI

WAZIRI MKUU: WIZARA YA AFYA FUATILIENI UPATIKANAJI WA DAWA MAHSUSI

6 months ago
RAIS DK. SAMIA AFICHUA SIRI TANZANIA KUNG’ARA AU

RAIS DK. SAMIA AFICHUA SIRI TANZANIA KUNG’ARA AU

4 months ago

Popular News

  • MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    MWANZA KINARA USIMAMIZI MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WFP KUENDELEZA USHIRIKIANO NA TANZANIA USIMAMIZI WA MAAFA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • HESHIMA KUBWA KWA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • MWIGULU: MAMBO MAZURI YANAKUJA, AIPA TANO SERENGETI BOYS

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SERENGETI BOYS HESHIMA KILA KONA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Not enough quota to unlock this post
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?