• ePaper
Friday, May 8, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

SERIKALI YAITAKA STARS KUTOKATA TAMAA AFCON

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
December 29, 2025
in Burudani, Kimataifa, Michezo
0
SERIKALI YAITAKA STARS KUTOKATA TAMAA AFCON
0
SHARES
10
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA 

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amewataka wachezaji wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’, kutoka tamaa isipokuwa wapambane kupata ushindi katika mechi ijayo.

Taifa Stars itacheza na Tunisia kesho katika mechi ya mwisho ya kundi C ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 itakayopigwa Uwanja wa Prince Moulay Abdellah, Rabat.

Tanzania ilianza michuano hiyo kwa kichapo dhidi ya Nigeria (2-1) na sare ya bao 1-1 ilipocheza na Uganda.

Akizungumza kutoka Morocco juzi, Naibu Waziri huyo alisema Taifa Stars inapaswa kupata ushindi dhidi ya Tunisia, kuhakikisha inatinga hatua ijayo.

“Kila mmoja alitarajia ushindi, tumeona wenzetu wamejipanga, msikubali kukataa tamaa, mechi yetu dhidi ya Tunisia twendeni tukapambane tukapate pointi tatu.

“Twendeni tukawape zawadi Watanzania, zawadi ya mwaka mpya kwa kuwafunga Tunisia, serikali ipo na nyinyi na wananchi wa Tanzania bado wapo na nyinyi, nendeni mkapambane,” alisema.

Mchezaji wa Stars, Simon Msuva ambaye alikuwa mchezaji bora dhidi ya Uganda, alisema bado wana imani watafanya vizuri dhidi ya Tunisia.

Previous Post

SMZ YAPONGEZA UDHAMINI KOMBE LA MAPINDUZI 

Next Post

MSUVA NA REKODI YA MAANA AFCON

Next Post
MSUVA NA REKODI YA MAANA AFCON

MSUVA NA REKODI YA MAANA AFCON

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

LATRA KUTOA VIBALI KWA WAENDESHA DALADALA KUPITA NJIA YA MWENDOKASI BRT (I)

6 months ago
MAELFU YA WAGONJWA KUTOKA NJE YA NCHI WAMIMINIKA KUPATA HUDUMA

MAELFU YA WAGONJWA KUTOKA NJE YA NCHI WAMIMINIKA KUPATA HUDUMA

2 months ago

Popular News

  • YANGA MBELE KWA MBELE

    YANGA MBELE KWA MBELE

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • WATAALAMU WAFUNGUKA MITAZAMO YA MIKATABA 8

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA AKEMEA VIONGOZI ‘KUVIMBA’

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • DEMOKRASIA ISIZICHAFUE NCHI ZETU – RAIS DK. SAMIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • ZIARA YA RAIS KAGAME, RUTO KUIMARISHA DIPLOMASIA KIUCHUMI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?