• ePaper
Thursday, May 21, 2026
  • Login
No Result
View All Result
Uhuru Publication
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Hadithi
  • Login
No Result
View All Result
ePaper
Uhuru Publication
Home Burudani

DEPU, OKELLO WAMOTO, YANGA IKISHINDA 6-0

Abdurahman Jumanne by Abdurahman Jumanne
January 20, 2026
in Burudani, Michezo
0
DEPU, OKELLO WAMOTO, YANGA IKISHINDA 6-0
0
SHARES
8
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter

Na AMINA KASHEBA

USAJILI mpya wa Yanga umeanza kulipa, fuatia jana timu hiyo kupata ushindi wa mabao 6-0 dhidi ya Mashujaa ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. 

Mtanange huo uliopigwa Uwanja wa KMC, Dar es Salaam, Yanga ilitawala mechi hiyo huku nyota wake wapya Mohamed Damaro, Allan Okello na Laurindo Aurelio ‘Depu’ waliotua dirisha dogo, wakiwasha moto wa hali ya juu.

Katika mtanange huo, Depu alifunga bao moja na kutoa pasi moja ya bao, Damaro akipachika bao moja wakati Okello akitoa pasi moja ya bao.

Mabao mengine ya Yanga yalifungwa na Duke Abuya, Pacome Zouzoua, Prince Dube na Mudathir Yahya, kila mmoja akiweka kimiani bao moja.

Kutokana na ushindi huo, sasa Yanga ipo kileleni mwa msimamo wa ligi, ikiwa na alama 19 katika mechi saba. 

Baada ya mtanange huo, sasa Yanga inajipanga kwa mechi mbili mfululizo za kundi B Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly ya Misri.

Yanga itachuana na Al Ahly mwishoni mwa wiki nchini Misri kabla ya kurudiana mwishoni mwa mwezi huu katika Uwanja wa New Amaan Complex, Unguja.

Yanga: Abuutwalib Mshery, Bakari Mwanyeto, Dickson Job, Maxi Nzengeli/Mudathir Yahya, Pacome Zouzou/Laurindo Dilson, Kibwana Shomary, Allan Okello, Chadrack Boka/ Balla Conte, Mohamed Damaro/ Mohamed Hussein, Prince Dube na Duke Abuya/Kouassi Yao.

Mashujaa: Erick Johola, Mpoki Mwakinyuke, Samwel Onditi, Abdulanasir Assa, Salum Kihimbwa, Hassan Ali, Mundhir Vuai, Jafari Kibaya, Yusuf Dunia, Mohamed Salum na Samson Madeleke.

Previous Post

KIHONGOSI AMWASHIA MOTO KIGOGO HOSPITALI MANYONI

Next Post

NI ZAMU YETU LINAKUJA NYUMBANI

Next Post
NI ZAMU YETU LINAKUJA NYUMBANI

NI ZAMU YETU LINAKUJA NYUMBANI

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Recommended

TAIFA STARS NA AFCON YA HESABU

TAIFA STARS NA AFCON YA HESABU

5 months ago
SERA USIMAMIZI MALI ZA UMMA, KICHOCHEO CHA UKUAJI UCHUMI

SERA USIMAMIZI MALI ZA UMMA, KICHOCHEO CHA UKUAJI UCHUMI

1 month ago

Popular News

  • MWANZO, MWISHO SIMULIZI MAUAJI YA MCHINA DAR

    MWANZO, MWISHO SIMULIZI MAUAJI YA MCHINA DAR

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • KUDUMISHA SERA YA CHINA MOJA NA KUIMARISHA URAFIKI KATI YA CHINA NA TANZANIA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • SIMBA, COASTAL HAPATOSHI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RIO USIPIME KABISA

    0 shares
    Share 0 Tweet 0
  • RAIS DK. SAMIA AWAPA TABASAMU WAPIGANAJI

    0 shares
    Share 0 Tweet 0

Stay Update, Subscribe Now!

Check your inbox or spam folder to confirm your subscription.

Ukurasa Rasmi wa Televisheni ya Gazeti la Uhuru.

Facebook-f Instagram X-twitter Youtube tiktok
Quick Links
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalum
  • Kolamu
  • Makala
Services
  • ePaper
Contact Information
  • Dar es Salaam,Tanzania
  • info@upl.co.tz
  • +255 783 925 742
Uhuru Publications , 2025 © All Rights Reserved
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • FAQ
No Result
View All Result
  • Home
  • Habari
  • Michezo
  • Uchaguzi
  • Burudani
  • Toleo Maalumu
  • Kolamu
  • Makala
  • Contact
  • Hadithi

© 2026 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Are you sure want to unlock this post?
Unlock left : 0
Are you sure want to cancel subscription?